Zingatia ulaji huu wa kichina

Zingatia ulaji huu wa kichina

Mimi hata nile kutwa mara moja sipunguuii.....ht nikifunga kwaresma sipungui...nna kilo 65 nataka nirudi back to 55 kwasasa nimechoka kujaribu
Na mi hata nile vp sinenepi....sijui kwanin
 
solution kubwa ni kufunga tu, ukisikia njaa kula matunda basi. nilikuwa na kilo 98 sasa nina 80 in within two months
 
basi tena mtoto mzuri kunywa maji yanatosha

Kunywa maji kwa ajili ya kupunguza uzito sawa.. Shida yangu ni kula kidogo usiku wakati najua ninatakiwa kutoa dose!! Nahisi kwa ule mchakamchaka unaweza kufia juu ya kifua cha mtu! Mtoa maada leta maelezo bhana acha kuzunguka na vitu vyako vya arusha mwishowe ujifanye umekosea tundu!
 
Kunywa maji kwa ajili ya kupunguza uzito sawa.. Shida yangu ni kula kidogo usiku wakati najua ninatakiwa kutoa dose!! Nahisi kwa ule mchakamchaka unaweza kufia juu ya kifua cha mtu! Mtoa maada leta maelezo bhana acha kuzunguka na vitu vyako vya arusha mwishowe ujifanye umekosea tundu!

hahaaaaaa siku za mechi kula ushibe, lakini kwani unagombana huko mechini? usishindane na ile makitu haitosheki kabisa ile,
 
Ha ahaa aaa kaka vipi,?! Kitu ya arusha tena!!! So bora pombe...
vyote vina mtanange wake, ila kama ni laga pata milk stout mbili na kiroba moja, shughuli itaanzia huko kilabuni, mgosi ataleta fujo mno, trust me hiyo doze ni noooouma
 
Kwa njia rahisi ni kuwa ni kwamba:

Asubuhi: Kula kama mfalme au malkia
Mchana: Kula kama mtoto wa kifalme au binti mfalme
Usiku: Kula kama omba omba
Kwa muda wote huo kunywa maji kama ngamia aliyetoka jangwani ukihakikisha japo umetoka jasho
 
Supu ya nyoka vipi?pia mende ka ugali mchana na konokono kwa wali jioni daah wachina kweli nouma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom