Zingatia ulaji huu wa kichina

Zingatia ulaji huu wa kichina

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,120
Reaction score
829,008
wengi wetu.tunalalamika unene na vitambi, tunaenda gym lakini bado hatupungui zingatia ulaji huu wa kichina utaona maajabu.

ASUBUHI: kula vizuri, si lazima ushibe
MCHANA: kula ushibe, si lazima kiwe chakula kizuri sana
JIONI: kula kidogo, kiwe kizuri au cha kawaida

Iko hivi asubuhi ndio siku inaanza mwili unahitaji energy inabidi ule vizuri.

Mchana mwili umeshachangamka lakini pia uko bado na mishemishe hivyo kula ushibe.

Jioni huhitaji kula sana kwakuwa unaenda lala kwahiyo chakula hakitafanya kazi yoyote,vile vile kunywa maji mengi lita mbili kwa siku,epuka vitu vya baridi na vyenye sukari nyingi.

Jioni usichelewe sana kula.

Jaribu hii kitu kwa wiki mbili utaniambia.

Kumbuka kupima kilo zako kabla hujaanza hili zoezi na baada ya wiki mbili pima tena.
 
Eti Adam na Eva hawakuwa wanajisaidia kwa vile misosi yao ilkuwa wakila inaishia mwilini kabanga
 
Last edited by a moderator:
kaka katika siku zote, leo umeongea point sana, manake siku zote naona ni porojo, sometimes unafikiria vitu vya maana kumbe eeh
 
Na sisi wenye wake tutaweza kweli hii kitu.. maana unaweza kuunderperfom kisa umekula kimzaha usiku!! Nahitaji maelezo ya kina hapa..
 
kaka katika siku zote, leo umeongea point sana, manake siku zote naona ni porojo, sometimes unafikiria vitu vya maana kumbe eeh

Hahaaaaaa nilikuwa Sijui aisee , tembelea na MMU basi
 
wengi wetu.tunalalamika unene na vitambi, tunaenda gym lakini bado hatupungui zingatia ulaji huu wa kichina utaona maajabu.

ASUBUHI: kula vizuri, si lazima ushibe
MCHANA: kula ushibe, si lazima kiwe chakula kizuri sana
JIONI: kula kidogo, kiwe kizuri au cha kawaida

Iko hivi asubuhi ndio siku inaanza mwili unahitaji energy inabidi ule vizuri.

Mchana mwili umeshachangamka lakini pia uko bado na mishemishe hivyo kula ushibe.

Jioni huhitaji kula sana kwakuwa unaenda lala kwahiyo chakula hakitafanya kazi yoyote,vile vile kunywa maji mengi lita mbili kwa siku,epuka vitu vya baridi na vyenye sukari nyingi.

Jioni usichelewe sana kula.

Jaribu hii kitu kwa wiki mbili utaniambia.

Kumbuka kupima kilo zako kabla hujaanza hili zoezi na baada ya wiki mbili pima tena.[/QUOTE




Mkuu issue sio kula tu issue ni unatakiwa ule nini na kwa kiasi gani...
 
Mimi hata nile kutwa mara moja sipunguuii.....ht nikifunga kwaresma sipungui...nna kilo 65 nataka nirudi back to 55 kwasasa nimechoka kujaribu
 
Uko sahihi, nimeishi kwa formula hio kwa muda na ni kweli siongezeki kizembe. Ila aina ya chakula unachokula nayo ni muhimu sana na mwisho kabisa mazoezi ni ireplaceable.
 
Mimi hata nile kutwa mara moja sipunguuii.....ht nikifunga kwaresma sipungui...nna kilo 65 nataka nirudi back to 55 kwasasa nimechoka kujaribu

Tofali,pana shaka wewe ni binti na unajikubali zaidi kwenye looking ya u-portable!!
 
discipline kwenye maswala ya maakuli yataka moyo, ila itabidi nijitahidi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom