Zingatia kabla ya kuoa

no but am chaggga will u mary me? or if ure a women will u mary ma brother i will not do any harm to you!!

Je kamchezo siku hizi mnakajua au bado ni kama zamani we fanya tu babaangu ukimaliza nifunike ulale..... Owsh naulisa tu Mae....
 
Kwani Mkuu shida yako si kukojoa???? Akiwaza hela we hukojoi? Tatizo kama huna hizo hela ndiyo tatizo!!!!

mkuu mauno na kakilio mahaba unavkosa,c unajua zle za"ashiih bebii ivoivo" znavoletaga stim za kugegeda
 
ukitaka mapenzi ya much know OA MNYAKYUSA:smile-big:
 
Mimi Mchaga tu ili mradi asiwe mpalestina!!! Piga ua wale ukioa hufi njaa, na wako strong hata kama Mungu amekupenda zaidi watoto ni lazima watasoma na maisha watapata!!! Kubali kataa ni hiari yako ila penye ukweli tuseme na tuachane na ushabiki!!!
 
ukitaka mapenzi ya much know OA MNYAKYUSA:smile-big:

Hapo tegemea na mume mwenza atakayekuwa anatambulishwa kwako kama kalumbu a.k.a kaka!!! Likewise ukiolewa na Mnyakyusa tegemea mke mwenza, naye kalumbu a.k.a dada!!!! Hawako mbali sana na wahaya kitabia!!!!
 
Inaitwa shuntama n kwere hiyo ukiwekea hata job huendi.bt cku hizi cjaisikia kma inafanya kazi
 
mkuu,, ungejua kesi ya nyani apo unamweleza ngedere...:tinfoil3:..
ikuti ndo mchezo..
 

Wewe Padri?
 
Post za humu zinaweza nighaili kumuoa Mrangi wangu Cheupe wa barabara ya kumi na mbili ni mbichi kabisa.... Mambo ya kuwekewe Shuntama n Kwere tena... naona niache kula nyama za Home niishi nae fresh
 
Post za humu zinaweza nighaili kumuoa Mrangi wangu Cheupe wa barabara ya kumi na mbili ni mbichi kabisa.... Mambo ya kuwekewe Shuntama n Kwere tena... naona niache kula nyama za Home niishi nae fresh

ha! ha! ha! ha!
umekwishaaaaaaa!!!!
 
Mimi Mchaga tu ili mradi asiwe mpalestina!!! Piga ua wale ukioa hufi njaa, na wako strong hata kama Mungu amekupenda zaidi watoto ni lazima watasoma na maisha watapata!!! Kubali kataa ni hiari yako ila penye ukweli tuseme na tuachane na ushabiki!!!

Kumbe kuna wapelestina na wa israel
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…