Zingatia kabla ya kuoa

Zingatia kabla ya kuoa

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Ukitaka majungu OA MHAYA. Ukitaka Mapenzi ya ujanja ujanja OA MCHAGA. Ukitaka Uchawi OA MFIPA. Ukitaka maneno OA MZENJI. Ukitaka mapishi OA MTANGA. Ukitaka Uume wenza OA MZARAMO. Ukiwa na shamba OA MSUKUMA. Ukitaka mapenzi ya kuona aibu oa MHEHE, Ukitaka kubana matumizi OA MPARE. Ukitaka Kisukari OA MWARABU mara tende mara halua!!! Ukitaka kuji-mix, oa mkerewe au mjita. Na kama unataka kuwachanganya m2 na dadake, OA Mrangi. Ukitaka kubishana na kupigana OA Mnyilamba,.Ukitaka kuzaa sana Oa Muha na ukitaka kubembelezwa na kudanganywa Oa mnyamwezi.
 
na wale wanaoweka kipande cha nyama kwenye papuchi siku mbili halafu anaipika na nyama nyingine kisha anakulisha ili usimwache ni kabila gani!!?
 
Aisee... Mentor bado nipo nipo sana!!!

Ila heri msukuma (ingawa ana sifa zifananazo na Wa-rombo)... Boflo we msukuma nini? Maana wahenga walisema, "Kila mwamba ngoma..."
 
Last edited by a moderator:
Mbona umeegemea upande mmoja wa shilingi em geuza na wapili basi! Au viceversa is true????
 
Mmachame? Maana ninamsikilza r.o.m.a anasema' ndo maana mama alisema nisimchumbie mmachame'
 
BORA HUJATAJA KWETU MAANA NINGEKUPA KISAGO :frusty::frusty: CHA NGUVU
NA USINGEKUMBUKA KWENU
Ukitaka majungu OA MHAYA. Ukitaka Mapenzi ya ujanja ujanja OA MCHAGA. Ukitaka Uchawi OA MFIPA. Ukitaka maneno OA MZENJI. Ukitaka mapishi OA MTANGA. Ukitaka Uume wenza OA MZARAMO. Ukiwa na shamba OA MSUKUMA. Ukitaka mapenzi ya kuona aibu oa MHEHE, Ukitaka kubana matumizi OA MPARE. Ukitaka Kisukari OA MWARABU mara tende mara halua!!! Ukitaka kuji-mix, oa mkerewe au mjita. Na kama unataka kuwachanganya m2 na dadake, OA Mrangi. Ukitaka kubishana na kupigana OA Mnyilamba,.Ukitaka kuzaa sana Oa Muha na ukitaka kubembelezwa na kudanganywa Oa mnyamwezi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom