platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,363
- 11,149
11. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana?
Mengi tu ila nalokumbuka kwa haraka ni kufaulu kwenye mtihani wa darasa la Saba.
12. Je unapenda kuvaa nguo za aina gani?
Za mtumba tena zinazofit mwili wangu.
13. Ukipata fursa ya kupata staftahi na King'asti, Je ungapenda kujadili jambo gani na yeye?
Kabla ya kujadili naye jambo lolote ningependa kumchungua kama ana kijungu na chuchu saa sita au saa kumi na mbili saa za kigoma! Halafu baada ya hapo ningependa tujadiliane naye kwa nini siku hizi mabinti wanapenda vibabu, halafu baada ya hapo ningemuuliza vipi Yule mzungu aliyemwachia e-mail kwa ahadi ya kumtumia tketi ya kuingia mamtoni ana mpango wa kumroga au ndio nipotezee tundi limekwenda bure?
Zaidi ya hivyo ningependa nijadiliane naye kwa nini mabinti wa JF wanajigonga sana kwa Mods!
Mengi tu ila nalokumbuka kwa haraka ni kufaulu kwenye mtihani wa darasa la Saba.
12. Je unapenda kuvaa nguo za aina gani?
Za mtumba tena zinazofit mwili wangu.
13. Ukipata fursa ya kupata staftahi na King'asti, Je ungapenda kujadili jambo gani na yeye?
Kabla ya kujadili naye jambo lolote ningependa kumchungua kama ana kijungu na chuchu saa sita au saa kumi na mbili saa za kigoma! Halafu baada ya hapo ningependa tujadiliane naye kwa nini siku hizi mabinti wanapenda vibabu, halafu baada ya hapo ningemuuliza vipi Yule mzungu aliyemwachia e-mail kwa ahadi ya kumtumia tketi ya kuingia mamtoni ana mpango wa kumroga au ndio nipotezee tundi limekwenda bure?
Zaidi ya hivyo ningependa nijadiliane naye kwa nini mabinti wa JF wanajigonga sana kwa Mods!
Last edited by a moderator: