Zinauzwa kimachinga kabisa! Kweli hii kali

Zinauzwa kimachinga kabisa! Kweli hii kali

Salamander

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
28,536
Reaction score
15,751
1958190_10150431062484990_552083368567406174_n.jpg

 
Hujasema anauza nini maana naona kama pungi pungi na kidogo naona kama ndo dagaa
 
😳😳😳😳duuu huyu jamaa mie nlizani anatembeza mchicha...
 
Hii makitu anatakiwa aione Chidi Benz...
 
dunia bado haijaelewa madhara halisi ya kuhararisha baghi.. ngoja tusubiri miaka mitano mbele idadi ya vijana vichaa itakavyoongezeka mitaani.
 
Hadi rahaa ukitumia hiyo makitu unajiona uko juu ya dunia unaelea kabsa hakuna wa kukuambia kitu apo hata Obama anakupigia magoti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom