Zinauzwa kimachinga kabisa! Kweli hii kali

Zinauzwa kimachinga kabisa! Kweli hii kali

kwenye kofia amehifadhi ile kubwa kuliko(kitu cha majuu) hatariiiiiiiiiiii...........!!
 
dah nimeitamani bure ile kitu.raha sana kuvuta ndumu.
 
dunia bado haijaelewa madhara halisi ya kuhararisha baghi.. ngoja tusubiri miaka mitano mbele idadi ya vijana vichaa itakavyoongezeka mitaani.

Nenda Colorado ruksa na watu wako byeee! Kutana na Dr Sanjay Gupta wa CNN uelimike!
Ushamba tu!
 
Tatizo mimoshi na chawa.. Marasta wengi nywele zao ni lice incubators company limited

Mshana jr kwa hilo you are wrong! Nakataa kabisa kuwa dreadlocks zina uhusiano na chawa. Chawa wanasababishwa na mazingira na uchafu. Halafu kitu kingine, ukae ukijua chawa wanaishi kwa kula damu, kitu ambacho hawawezi kukipata wakikaa kwenye dreadlocks. Kwa kupata damu, inabidi wakae karibu na ngozi, na ndio hapo ujue mtu mwenye nywele fupi anaweza kuishi na chawa kirahisi kuliko rasta.
 
Mshana jr kwa hilo you are wrong! Nakataa kabisa kuwa dreadlocks zina uhusiano na chawa. Chawa wanasababishwa na mazingira na uchafu. Halafu kitu kingine, ukae ukijua chawa wanaishi kwa kula damu, kitu ambacho hawawezi kukipata wakikaa kwenye dreadlocks. Kwa kupata damu, inabidi wakae karibu na ngozi, na ndio hapo ujue mtu mwenye nywele fupi anaweza kuishi na chawa kirahisi kuliko rasta.
Salamander nimemnukuu tu Luck Dube RIP, marasta wetu wa kibongo/kiafrika wengi wachafu na kwakweli vichwa vyao ni magenge ya chawa nina mifano hai kabisa
 
Last edited by a moderator:
Salamander nimemnukuu tu Luck Dube RIP, marasta wetu wa kibongo/kiafrika wengi wachafu na kwakweli vichwa vyao ni magenge ya chawa nina mifano hai kabisa

Ulinukuu vibaya kama watu wengi wanavyonukuu mpaka kesho. Lucky Dube alikuwa anawataka makaka wawe wasafi kwenye mioyo yao, hakumaanisha kwamba walikuwa hawajafua nguo zao. Alikua anaongelea usafi wa moyo, sema waandishi wa kibongo walivyo vilaza kesho yake asubuhi magazeti yakaandika Lucky Dube kasema marasta wa kibongo wachafu. Waandishi wa habari Tanzania wengi wendawazimu.
 
Ulinukuu vibaya kama watu wengi wanavyonukuu mpaka kesho. Lucky Dube alikuwa anawataka makaka wawe wasafi kwenye mioyo yao, hakumaanisha kwamba walikuwa hawajafua nguo zao. Alikua anaongelea usafi wa moyo, sema waandishi wa kibongo walivyo vilaza kesho yake asubuhi magazeti yakaandika Lucky Dube kasema marasta wa kibongo wachafu. Waandishi wa habari Tanzania wengi wendawazimu.

Bado ukweli unabaki palepale marasta wengi ni wachafu mno, hili halina ubishi Salamander, kutunza dreads kwa kiwango chake ni gharama kubwa sana hasa kwenye shampoo na mafuta, wengi hawana uwezo wa kununua japo shampoo ya sh elfu 5000 na mafuta ya elfu tatu ambavyo havimalizi wiki, wengi wao wananuka, kwenye mishemishe zangu mitaani nakutana nao sana tu
 
Last edited by a moderator:
Bado ukweli unabaki palepale marasta wengi ni wachafu mno, hili halina ubishi Salamander, kutunza dreads kwa kiwango chake ni gharama kubwa sana hasa kwenye shampoo na mafuta, wengi hawana uwezo wa kununua japo shampoo ya sh elfu 5000 na mafuta ya elfu tatu ambavyo havimalizi wiki, wengi wao wananuka, kwenye mishemishe zangu mitaani nakutana nao sana tu

I don't know Mshana, lakini Bongo mi nilikaa na watu wa Jamii ya marasta wengi tu, tena kwa pamoja, lakini sijui kama wananuka, kwangu walikuwa poa tu. Swala la usafi ni la mtu binafsi, kwani wapo wanaovaa tai shingoni lakini bado wana harufu ya kwapa au mdomo.

Natural dreadlocks hazihitaji gharama kubwa kama wengi wanavyofikiria kwani kuna njia nyingi mbadala za kuzisafisha kama hakuna hizo shampoo za Elfu hamsini. Na unaweza kutumia mafuta ya bei poa kama ya nazi, zikawa bomba tu.
 

I don't know Mshana, lakini Bongo mi nilikaa na watu wa Jamii ya marasta wengi tu, tena kwa pamoja, lakini sijui kama wananuka, kwangu walikuwa poa tu. Swala la usafi ni la mtu binafsi, kwani wapo wanaovaa tai shingoni lakini bado wana harufu ya kwapa au mdomo.

Natural dreadlocks hazihitaji gharama kubwa kama wengi wanavyofikiria kwani kuna njia nyingi mbadala za kuzisafisha kama hakuna hizo shampoo za Elfu hamsini. Na unaweza kutumia mafuta ya bei poa kama ya nazi, zikawa bomba tu.

Sawa kabisa nakubaliana nawe lakini ngoja siku moja nikuchue ziarani kwenye mitaa na viunga vya dar na mitaa yake utaona kitu tofauti kabisa trust me...!!!
 
Back
Top Bottom