Zinaa katika uislamu....

Ndipo nikauliza wake zako ruksa kuwaingilia
jee hawa UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI WAKE ZAKO
mbona hamnijibu walimu


Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Hiyo habari ya mkono wa kuume siielewi, pengine ni tafsida imetumika hapo ila sababu sijaiongea mimi bas siwezi kuijibia
 
malizia ayat ukishindwa kuoa mmoja basi fanya basi uwaingilie wale UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME={vibubu)

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Aya umeweka wewe niimalizie mimi? Tuwekee hapa mwanzo wake mpaka mwisho wake ndio tuiajadili kwa haki, usi edit chochote.
 
Kwa akili za kisilamu umepatia


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe unajua Ninacho penda
unasita sita nini kutumia nikipendacho kunivuta kwako
una hiana masudi


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nadhani uumeamua kuniambia kuwa huna aya inayokanusha nilichokiandika. Siku hizi kuna translation tools nyingi tu (nimekuambia kutojua Kiarabu siku hiz sio shida tena). English translation ya hicho ulichokileta ni hii:

And protections of women, except that what is in your possession is the Book of Allah upon you, and I will make it lawful for you beyond that, that you may seek your wealth, fortified, not traveling, which ye have enjoyed.

Sasa hebu linganisha na hizo tafsiri ulizoleta, kuna uhusiano gani na aya hii??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…