Zinaa huleta ufukara

Aisee,mkuu nimecheka sana.
 
Reactions: B51
nauli 0 kwa mguuu
gesti 5000
chakula juic ya ukwaju 100 pakt ,maji kandoro 100 mihogo 500
Posho ya demu 1500 ya pedi na 500 la kifurush

Jumla kuu 7700
 
Mimi huniongezea mbinu nyingi na kushugulisha ubongo wangu kupambana, ni kama hivi
1) natafuta hela ya maendeleo
2)natafuta hela ya kujikimu,chakula ,mavazi,maradhi,ada nk
3)hela ya bia na kuhonga
Hivyo vyote lazima vipatikane
 
Afu bado ntu anajitia kuoa mke wa pili

Mtakufa maskini😂😂😅
 
Kuna mwana siasa mmoja aliwa kusema masikini na roho mbaya ni mtu na mdogo wake mtoa post acha roho mbaya tafuta pesa
 
Kula RAHA ZA DUNIA KUNALETA UFUKARA!

Siyo kweli, sikubaliani na wewe.

Ulichofanya wewe hapo ni Mathalani ya maneno.

Acha kuwatisha Watu
 
Vipi kama demu yeye ndiyo anamaliza kila kitu,kazi yangu nikutoa gegedo pekee.
Kwa gemu la ridhaa haiwezekani, labda iwe ni rushwa ya ngono kwa ajili ya kuzima kesi au kufukuzia ajira, hapo mademu hawanaga ujanja. Humaliza wao kila kitu.
 
ngoja nihifadhi maoni yangu... Maana nijuavyo mimi inaongeza mzunguko wa fedha na kukuza uchumi
 
Mkuu we usietomba sasa hivi utakua unamilki billion of dollars na Bentley za kutosha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…