Zimebaki siku ngapi za kina Zitto?

Status
Not open for further replies.
Uzuri ni kwamba walizitoa katika barau za wanachama wao hao na hawakupita JF na naamini Chadem hawashindi JF , swali lako nenda nalo kule Chadema , uwe na sifa ya kufanya hilo .

Wewe dogo acha akili za kusahau kama panzi humu JF kurugenzi ya habari chadomo ipo rasmi na imekuwa ikitupa habari zote za CC,ni chama pekee kinatoa matamko JF akina ben na wenzake well JF 24 hrs
 

CHADEMA ni chama makini kuliko vyote kwa ss hapa Tz hivyo sio cha kupoteza point kipumbavu.,ungeiuliza kwanza ccm(1)Maisha bora kwa kila Mtz yameishia wapi au ulikuwa usanii wa kushikia utamu?(2)Vua gamba ni muda gani sasa na imeishia wapi ni kweli gamba limekwamia kiunoni??(3)Ni mawaziri mzigo au mkulu ndio mzigo kwa Taifa???
 

Huwa haziishi hizo

Siku 90 za Nape vp zimeishia wapi kujivua gamba
 
CHADEMA ndio nyumbani kwa ZZK, he is there to stay
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…