Zimbabwe Umaskini Basi? Almasi ya Kutisha yagunduliwa

Zimbabwe Umaskini Basi? Almasi ya Kutisha yagunduliwa

yale yale ya bongo......................The discovery of more diamond fields comes
at a time when President Robert Mugabe’s
government has expressed concern about
poor revenue inflows from companies
mining the precious gems
 
sasa hiyo dhahabu watamuuzia nani ikiwa wazungu wote wamewasusa?

Dhahabu tena? Wenzio wanazungumzia mawe wewe unasema dhahabu!!!...FYI, WAZUNGU HUWA HAWASUSI MADINI NDUGU.
 
Robert_Mugabe.jpg
Pamberi ni Chimurenga, Pamberi na Jongwe, Aluta Continua!!!!
 
kama kwako kiswahili sio lugha ya kwanza ni heri utafute kamusi ya kiswahili sanifu,itakusaidia

Mkuu, nimefurahia usanifu

Yangu:

Ukwasi = liquidity = fedha nyingi . Sawa credit au cah/cheque.

Tanzania ina raslimali nyingi (madini, gesi, misitu, tembo nk., ), lakini haina fedha. Benki kuu imejaa nadeni, mikopo .Bujet ya nchi ni tegemezi kwa wafadhili.

Hivyo kusema Tz inaukwasi ???
 
hata cc tunayo kushinda hayo tunasubili miaka 50 mkataba uishe watupe mitambo tuanze kuchimba
 

Mgodi una ukubwa 10,000 Km2 na utaanza kuzalisha karibuni.

Una ukubwa sawa na nchi ya Swaziland.

Uko kwenye bonde la Umkondo.

Zimbabwe inaongoza kwa uzalishaji almasi duniani toka 2008.

Kampuni za utafutaji zilishirikiana Shirika la Maendeleo ya Madini la Serikali ya Zimbabwe.

Kwangu: Ardhi kubwa ingekuwa bado chini ya wazungu, utajiri huu ungeishia kwao.

Asante Mugabe kwa kuona mbali na kuleta sera mpya ya umilikaji ardhi na rasilimali.
Sourec: Daily Nation ya Kenya

Hongera zao
Kunafununu Mugabe hatupo naye tena. Alicollapse few wks back ila haijatangazwa kuhofia machafuko!.
 
Hongera zao
Kunafununu Mugabe hatupo naye tena. Alicollapse few wks back ila haijatangazwa kuhofia machafuko!.


Alishasema amekufa na kufufuka mar anyingi kuliko Yesu. Kisa ni kuzushiws vifo.
 
Walipitisha sheria mwaka 2010 ambayo ilitaka kwenye uwekezaji wowote lazima wazimbabwe wawe na share halafu ilikuwa ina act retrospective.. kuna mkenya alikuwa na hotel yake alikuwa akilalamika sana
 
Walipitisha sheria mwaka 2010 ambayo ilitaka kwenye uwekezaji wowote lazima wazimbabwe wawe na share halafu ilikuwa ina act retrospective.. kuna mkenya alikuwa na hotel yake alikuwa akilalamika sana

Serikali TZ ingenakili moja kwa moja tu hiyo sera ya madini ya Botswana. Just cut and paste.

Vinginevyo ni kuambulia mashimo tu
 
Back
Top Bottom