Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,623
- 1,096
Mgodi una ukubwa 10,000 Km2 na utaanza kuzalisha karibuni.
Una ukubwa sawa na nchi ya Swaziland.
Uko kwenye bonde la Umkondo.
Zimbabwe inaongoza kwa uzalishaji almasi duniani toka 2008.
Kampuni za utafutaji zilishirikiana Shirika la Maendeleo ya Madini la Serikali ya Zimbabwe.
Kwangu: Ardhi kubwa ingekuwa bado chini ya wazungu, utajiri huu ungeishia kwao.
Asante Mugabe kwa kuona mbali na kuleta sera mpya ya umilikaji ardhi na rasilimali.
Sourec: Daily Nation ya Kenya