Zimbabwe: Ukipekua simu ya mpenzi wako unahukumiwa kifungo

PintoG

JF-Expert Member
Jun 12, 2017
612
731
Sheria imepitishwa inchini Zimbabwe kuanzia sasa, mwenza wako, yaani mpenzi wako, mke wako, mume wako akikufikisha mahakamani kwa kuvizia simu yake bila ridhaa yake na ukaperuzi bila ridha yake, utahukumiwa kwa kuingilia faragha ya mtu bila ridhaa yake.

Ije bongo hii wadau mwasemaje, tupunguze kuviziana.
 
Sheria imepitishwa inchini zimbabwe kuanzia sasa,mwenza wako ,yaan mpenzi wako,mke wako,mume wako akikufikisha mahakamani kwa kuvizia simu yake bila ridhaa yake na ukaperuzi bila ridha yake ,utahukumiwa kwa kuingilia faragha ya mtu bila ridhaa yake.

Ije bongo hii wadau mwasemaje, tupunguze kuviziana.

Sheria ya kisengerema
 
Yaani kupekua sehemu za siri za mwenza wako sio kosa ila ukikagua simu ya mwenza wako kosa

Ase siendi Zimbabwe tena mwache Roma aende pekee yake
 
Sheria imepitishwa inchini zimbabwe kuanzia sasa,mwenza wako ,yaan mpenzi wako,mke wako,mume wako akikufikisha mahakamani kwa kuvizia simu yake bila ridhaa yake na ukaperuzi bila ridha yake ,utahukumiwa kwa kuingilia faragha ya mtu bila ridhaa yake.

Ije bongo hii wadau mwasemaje, tupunguze kuviziana.
Sheria hiyo haifai na kuviziana nako hakufai !! Mungu apishie mbali (stress)
 
Sheria hiyo haifai na kuviziana nako hakufai !! Mungu apishie mbali (stress)
baada ya kuona case nyingi za kuvunjika ndoa zinasababishwa na kupekua simu,nadhani wakaona bora kila mtu abaki na simu yake,na kulinda hiyo lazima pawe na sheria.ili watu waogope
 
Back
Top Bottom