BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,512
- 482
We balozi wa dodoma acha uongo. Nafasi ni103 na siyo 101.
Hii nn sasa? Ndo maana umekosa.
Ni gazeti gani hili mkuu
We balozi wa dodoma acha uongo. Nafasi ni103 na siyo 101.
Hakuna ubaya kaka. Kufaulu ni kufaulu tu. Wakati we unafaulu darasani mi nilikuwa nafaulu maisha. Hiyo ngoma siyo droo.