BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,656
- 3,079
Jijini Dar zimamoto wana magari sita ambayo manne kati yao yanahitilafu.Moja linafanyakazi na lingine linahitilafu katika hayo mawili ya uokoaji!
Wizara ya mambo ya ndani wana magari mengi mpaka ya washawasha kwaajiri ya kuzima upinzani dhidi ya dola
kwanini hawanunui magari dhidi ya majanga ya moto?!
Hizi hela tunazokatwa za fire nani anakula? kweli hapa kazi ni kama kauli mbiu zingine za maisha bora/ ukuta hazisaidii mwananchi wa kawaida.
Wizara ya mambo ya ndani wana magari mengi mpaka ya washawasha kwaajiri ya kuzima upinzani dhidi ya dola
kwanini hawanunui magari dhidi ya majanga ya moto?!
Hizi hela tunazokatwa za fire nani anakula? kweli hapa kazi ni kama kauli mbiu zingine za maisha bora/ ukuta hazisaidii mwananchi wa kawaida.