ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Haya ya Beno Nduru ni aina nyingine ya ufisi..noti mpya zilizotolewa kwa mbwembwe nyingi na BOT kwa maelezo kuwa ni imara na zinalenga kuziondoa sokoni zile zilizokuwa zikitumika kutokana na uchakavu, zimeonyesha wazi kuwa haziwezi kudumu na upya wake zaidi ya miezi sita. Nyingi ya noti hizo zina sura iliyofubaa na zimechakaa baada ya kutumika kwa muda mfupi tu.
Taifa limepoteza tena Pesa zilizotumika kutengenezea noti hizo ambazo ni afadhali kuwa na noti iliyochakachuliwa kuliko noti chafu halali.