Zile supu za jangwani siku hizi hakuna?

Zile supu za jangwani siku hizi hakuna?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,176
Reaction score
48,460
Wazee wa drama na senema zamani walikuwa wanagawana supu Kila baada ya mechi wakishinda. Siku hizi mbona kimya?

Kuna jamaa humu anajiita Labani og na Mwenzake ngara23 walikuwa wanakwenda na hotpots kabisa!

Injinia wafanyie wepesi watu wako angalau mkiifunga Azam wanywe supu zile ambazo semaji alisema kuwa ni Vibuduz😃😀😆
 
Usikariri tulipisha zoezi la serikali lile la vitumbua!, wakimaliza tunarudi tena kivyengine!
 
Usikariri tulipisha zoezi la serikali lile la vitumbua!, wakimaliza tunarudi tena kivyengine!
Au kafara hazikufua dafu mbele ya wazee wa duwah MC Alger hivyo mfadhili akaona Kila mtu akale kwake!?

😀😃😄
 
Utakuwa na wewe ni mpenzi wa hizo supu na viporo! Mpaka umezianzishia uzi umezikumbuka mkuu!
Kiukweli Eng. afanye wepesi supu zipatikane tena
🙂
 
Wazee wa drama na senema zamani walikuwa wanagawana supu Kila baada ya mechi wakishinda. Siku hizi mbona kimya?

Kuna jamaa humu anajiita Labani og na Mwenzake ngara23 walikuwa wanakwenda na hotpots kabisa!

Injinia wafanyie wepesi watu wako angalau mkiifunga Azam wanywe supu zile ambazo semaji alisema kuwa ni Vibuduz😃😀😆
Leo tutakunywa supu taifa punde baada ya mechi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom