Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,427
kwamba wao walisamehewa bila kuomba ? Hakuna namna yoyote ya kufuta neno mshamba , hili neno litaendelea kusimama hadi mwisho wa duniaHao wengine achana nao Nape ndio alisema jamaa mshamba.
Jogoo la shamba haliwiki mjinikwamba wao walisamehewa bila kuomba ? Hakuna namna yoyote ya kufuta neno mshamba , hili neno litaendelea kusimama hadi mwisho wa dunia
kwamba wao walisamehewa bila kuomba ? Hakuna namna yoyote ya kufuta neno mshamba , hili neno litaendelea kusimama hadi mwisho wa dunia
Jogoo la shamba haliwiki mjini
Hilo nalo nenooooKwa kadiri ya kupenda sifa na kujionyesha kwa awamu ya 5 mbele ya vyombo vya habari , na jinsi tulivyoona Nape akimulikwa kuanzia getini hadi sebuleni huku akibubujikwa na jasho kuonyesha kwamba alitembea umbali mrefu , baadhi ya wadau wameanza kujiuliza kwamba ilikuwaje Ngeleja na January wasipigwe picha hata ya Pasport size ?
Kama hawakwenda , Imekuwaje ishindikane hata kuonyeshwa vipande vya barua walizoandika ili kuomba radhi , hasa ikizingatiwa kiki za kufa mtu za awamu ya 5 ?
Machale yananicheza .
View attachment 1204966
Unafanya mchezo na mamlaka ya rais Nape alisahau kbs akome na hizo kwel ni salamu safari watadhalilishwa haijakishi waliwahi kuwa waandamizi Nakumbuka manenonya Lisu hakuna aliyesalamaHao wengine achana nao Nape ndio alisema jamaa mshamba.
Halafu adhabu kwa Nape ni salamu kwa Kinana.
Ya kwao ilifanyika kwa videoKwa kadiri ya kupenda sifa na kujionyesha kwa awamu ya 5 mbele ya vyombo vya habari , na jinsi tulivyoona Nape akimulikwa kuanzia getini hadi sebuleni huku akibubujikwa na jasho kuonyesha kwamba alitembea umbali mrefu , baadhi ya wadau wameanza kujiuliza kwamba ilikuwaje Ngeleja na January wasipigwe picha hata ya Pasport size ?
Kama hawakwenda , Imekuwaje ishindikane hata kuonyeshwa vipande vya barua walizoandika ili kuomba radhi , hasa ikizingatiwa kiki za kufa mtu za awamu ya 5 ?
Machale yananicheza .
View attachment 1204966
Mbona hili limewika, Tena mchana kweupeJogoo la shamba haliwiki mjini
Huwez kumkejeli Rais hadharani alafu uombe msamaha sirini ,nape alikosea sana ,yule JPM ni kama baba yake ,ajifunze adabu Nape alilelewa vibaya na Kinana
Hata kumrekodi anatembea kwa mguu viunga vya ikulu ni ushamba ule ulekwamba wao walisamehewa bila kuomba ? Hakuna namna yoyote ya kufuta neno mshamba , hili neno litaendelea kusimama hadi mwisho wa dunia
Kwa hiyo baba yake nape ni Mshamba??Huwez kumkejeli Rais hadharani alafu uombe msamaha sirini ,nape alikosea sana ,yule JPM ni kama baba yake ,ajifunze adabu Nape alilelewa vibaya na Kinana
.....mkaguzi wa misamaha !Kwa kadiri ya kupenda sifa na kujionyesha kwa awamu ya 5 mbele ya vyombo vya habari , na jinsi tulivyoona Nape akimulikwa kuanzia getini hadi sebuleni huku akibubujikwa na jasho kuonyesha kwamba alitembea umbali mrefu , baadhi ya wadau wameanza kujiuliza kwamba ilikuwaje Ngeleja na January wasipigwe picha hata ya Pasport size ?
Kama hawakwenda , Imekuwaje ishindikane hata kuonyeshwa vipande vya barua walizoandika ili kuomba radhi , hasa ikizingatiwa kiki za kufa mtu za awamu ya 5 ?
Machale yananicheza .
View attachment 1204966