Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,972
- 22,922
- Thread starter
- #141
Aisee sawa.Nimecheka aisee, ila no 17 ni nzuri ni salama sana kufanya hivi kila wakati
Aisee sawa.Nimecheka aisee, ila no 17 ni nzuri ni salama sana kufanya hivi kila wakati
Kula Ugali ni umaskini?Ugali mchana kila siku (tuna umaskin mkubwa)![]()
Ndio ugali sio chakulaKula Ugali ni umaskini?
Ni nini sasa?Ndio ugali sio chakula
Kama huko kwako?Hizo ni tabia za maeneo unayoishi
Barabara ya njia moja unaangaliaje Kushoto na kuliaKatika zote ulizosema mm ninayo moja no 17 kuvuka barabara lazima niangalie kushoto na kulia na hii nilijifunza shuleni katika Road safety
Ila hizo zingine kwa watu wenye uelewa mdogo zina apply na kumbuka asilimia kubwa ya watanzania wana uelewa mdogo
Kuvuka barabara namaanishaBarabara ya njia moja unaangaliaje Kushoto na kulia
Mtoa mada aliimaanisha barabara ya njia mojaKuvuka barabara namaanisha
Dah hiyo namba moja yako naipataNamba 10. Ni wapare ndo Wana tabia hyo.
Tabia nyingine.
1.kujamba ndani ya blanket au shuka halafu mtu anatoa kichwa nje ..
2.chupa ya chai ikivunjik Inakuwa chupa ya chumvi.
3.kupenda kupika wali usiku.
4.ugali ndo chakula cha mchana mara nyingi kwa jamii nyingi haswa wasukuma ila baadhi wanapika hata ndizi au kande.
4.Watakusaidia siku ya msiba hata kupika mavyakula ya gharama ila hata kupewa buku ya kula hawawezi na unaweza kufa kwa njaa.
5.kupigapiga rimoti ilihali wanajua kuwa batteries zimeisha ni za kutupa.


Hello Numbisa!Switch ipo mbali na kitanda unazima taa kisha unarudi kitandani mbio mbio
Wakati wa mvua ,radi ikipiga unatupa simu mbali na kujikausha kama sio yako kuogopa radi isikupate
Hello Numbisa!
Would you mind if I follow you inbox?Hellow