Zijue tabia za Mtanzania halisi

Zijue tabia za Mtanzania halisi

Mimi ni mtanzania ila karibia vyote ulivyoandika havi apply kwangu.
Inaelekea wewe haujaenda shule na pia ni maskini sana.Pole
We nawe umeamua tu kukomaza fuvu, wa -Tz sijui tulipatwa na shida gani kufikiri critically. Hajasema yote yana-apply kwa nchi nzima. Lakini pia wewe umesema karibia vyote, ina maana yake kuna vichache vinakugusa. Ndo hivyo sasa, bora uwe maskini kuliko ukose akili nzuri.
 
Wabongo hawajui kutunza siri. Kila jambo analoliona au kulisikia lazima alifikishe kwa mwingine...
 
Usiku ndo muda wa kunyanduana wanandoa
 
We nawe umeamua tu kukomaza fuvu, wa -Tz sijui tulipatwa na shida gani kufikiri critically. Hajasema yote yana-apply kwa nchi nzima. Lakini pia wewe umesema karibia vyote, ina maana yake kuna vichache vinakugusa. Ndo hivyo sasa, bora uwe maskini kuliko ukose akili nzuri.
Sinaga hayo mambo hivyo vitu haviapply kwangu endelea na maisha yako hayo ya umaskini. Hii nchi ina watu wajinga sana kama wewe pumbavu zako.
Wewe ndio wale ambao mnasema eti mke akuwekee maji ya kuoga bafuni mi nashangaaga sana kwani mi bafuni kwangu kuna Shaw rose
We nawe umeamua tu kukomaza fuvu, wa -Tz sijui tulipatwa na shida gani kufikiri critically. Hajasema yote yana-apply kwa nchi nzima. Lakini pia wewe umesema karibia vyote, ina maana yake kuna vichache vinakugusa. Ndo hivyo sasa, bora uwe maskini kuliko ukose akili nzuri.
Nikomaze fuvu Kwa nini wewe endelea na maisha yako hayo.
Wewe nakufananisha na wale wanasema eti mke akuketee maji ya kuoga bafuni.
Siwaelewagi kwani mi bafuni kwangu kuna bathing system haina mambo eti ya kuwekewa maji ya kuoga kwenye ndoo.
Aisee pole sana endelea kupambana unaweza kuja kufanikiwa
 
Ewaa sasa wewe ndiyo mtanzania halisi yaani comment yako inaonesha jinsi gani utanzania umekujaa mkuu sifa kuu ya mtanzania nyengine ni huwa tuna act maisha
Acha kugeneralise sikujui hunijui Kwa taarifa tu Kwa miaka yangu niliyonayo zaidi ya nusu yake nimeishi maeneo tofauti zaidi ya nchini kwangu nafahamu na nimeishi mambo mengi siyo haya
 
Back
Top Bottom