Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,108
- Thread starter
- #21
Hizo tabia zote unazo wewe peeke
Asante kwa kushiriki
Hizo tabia zote unazo wewe peeke
Nitakuwa situmii bando jingi kwa mwezi hivyo hiyo hela ya bando itasaidi kununua LUKU na BILI YA MAJI IRUWASA.Wakifunga utafaidika nini kwenye maisha yako wewe na familia yako?
Majumba au mapagala hayo mnaishi muda wowote Serikali inabomoa! sikia Nyumbani ni zile zimepimwa, zina chocho kubwa, zinaingilika Kwa barabara kirahisi, Police patrol inapita kwa uwazi, Maji, Simu, Umeme nk, kiwanja kikubwa chakutosha kuwinda wanyama kama sungura. wa kubomolewa wale wa kipawa wanaita eti hilo ni Shamba.Ni kweli watu humu tunapiga mchele, kimya kimya bila kwere, tuna magari tele na majumba kama mbele...
Asante kwa kushiriki
Ulitakiwa uchangie hiyo mada na si kuanzisha uzi wa aina hiyo hiyo.
Wengine hatuna uwezo wakupitia mada zote zilizowahi kupostiwa JamiiForums ili kuona kama hichi nachotaka kuandika hakijawahi kuandikwa na shemeji yako
Ni kweli watu humu tunapiga mchele, kimya kimya bila kwere, tuna magari tele na majumba kama mbele...
😄😄😄kweliHumu ukisema ufutilie maisha ya watu kupitia miandiko ya watu utashusha kinga ya mwili na corona ipite na wewe.
Mods wanajua keyword za hizo mada mimi sio mtaalamu ila hiyo mada ya JF Members wanajua kila kitu sijui matajri,sijui wanakaa masaki,oysterbay ipo humu siku MINGI.Mkuu hiyo ya zamani iko wp?
Hii mada hipo Mtu
Hizo tabia zote unazo wewe peeke
[/Mtu anajiita great thinker na anatoa matusi ya nguoni
humu mkuu.
Mkuu kweli una hasira na watu tunaomiliki magariKama gari yenyewe ni used from Japan amka usingizi bado una Safari ndefu sana