Zijue sifa za mabinti wa Iringa

Zijue sifa za mabinti wa Iringa

Duuuuuuuuh very true boss hongera kwa comment yenye content!!hicho ulichokiongea hakina utofauti kabisa na ex wngu yani ni matatizo yule mwanamke looh!!!
Ndio hivyo naishi nao wengi ni majirani zangu.
Wanafuatilia sana maisha ya watu ukioa jiandae kuwekewa limbwata ili akutawale,wakikuamulia kukufanyia uchawi na kukuwangia utatamani uikimbie nyumba yako.
 
Ex wangu aliniletea dramaz mpaka tukaachana boss,kupitia mashemeji(wajumbe) nasikia anatafuta mganga arudishe majeshi kwangu kitu ambacho haitawezana kwangu kunifanyia
Ndio hivyo naishi nao wengi ni majirani zangu.
Wanafuatilia sana maisha ya watu ukioa jiandae kuwekewa limbwata ili akutawale,wakikuamulia kukufanyia uchawi na kukuwangia utatamani uikimbie nyumba yako.
 
Duh mkuu kazi unayo utapata tabu sana yaani labda uhame hayo maeneo ulipo wale wana muda mwingi wa kufanya hayo mambo na wana mtandao mpana wa hayo mambo,wanajua waganga wote wa mjini hadi kwao liwale huko.
Ex wangu aliniletea dramaz mpaka tukaachana boss,kupitia mashemeji(wajumbe) nasikia anatafuta mganga arudishe majeshi kwangu kitu ambacho haitawezana kwangu kunifanyia
 
Nipo nae miles nyingi tuh kwasasa but kuniloga haweziiii naamini katika uwezo wa alie umba kila tunachoona na tusichoona!
Duh mkuu kazi unayo utapata tabu sana yaani labda uhame hayo maeneo ulipo wale wana muda mwingi wa kufanya hayo mambo na wana mtandao mpana wa hayo mambo,wanajua waganga wote wa mjini hadi kwao liwale huko.
 
uvumilivu, usiri na kuchukua maamuzi magumu ndio kulimfanya nyerere akachukua wahehe wengi sana kuwaingiza TISS. huku TISS kuna rundo la wahehe.
 
Back
Top Bottom