The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,871
Yap yap...Halafu wakati huo nyege zinaongezeka huku mzee nae uwezo unapungua, plus kuchokana, magomvi. Ni kuomba Mungu tu
Yashakukuta nini?
Yap yap...Halafu wakati huo nyege zinaongezeka huku mzee nae uwezo unapungua, plus kuchokana, magomvi. Ni kuomba Mungu tu
Usiruhusu mke kwenda kusoma hata kama ni kichwa wakware watamchapa tuHapa pa masomo hapa, ukishamuona mke wako uwezo wake wa akili ni average, akitaka kujiendeleza huko shule atatafuta msaada tu. kama ana hela Kuna vipanga wanafanya assignment kwa malipo, Kama hela hakuna kutakua na njia mbadala ya malipo.
Hayo yote uliyokutana nayo ni malaya tu ila kwa umri wako hauwezijua kama ni malaya.mkuu usikatae huna experience na haya mambo.
Mimi nilishawajaribu wake za watu wa aina zote masistaduu,walokole,wastaarabu,vijana,watu wazima na wote nimetifua hakuna niliyemkosa.
Tena wengine ni majimama wa miaka 48 hadi 50 wakati mimi umri wangu ni early 30's.
Mwanamke akiwa na stress hawezi kuwa na hisia za tendo la ndoa labda akitaka kumkomoa mme wake.Karibia nafikisha 35 yrs so nimesema kama nitagonga 35 sijapata wazo au sababu ya kuchepuka basi Siwezi kuchepuka asilani.
That's awful!Wanawake watumishi wengi muda wao wa uzinzi ni Massa ya kazi kuanzia saa 3-9. Saa 9:30 ameshajirudia home, halafu anampigia simu mumewe upo wapi baba,Mimi nipo nyumbani .halafu mwanaume anajisifu mke wangu sio mtembezi. Wakati anacheza na akili zako tu.
Wengine ni kinyume, nikiwa na stress ndipo na hamu huwa juu zaidiMwanamke akiwa na stress hawezi kuwa na hisia za tendo la ndoa labda akitaka kumkomoa mme wake.
Kuoa bikra n kigezo cha uaminifu hadi mtu ana miaka 24 naaa, huwezi sema atachepuka kwny hio ndoa yakeBikra si kigezo cha uaminifu , mkuu jua kuwa kuna vitu vingi vinachangia mtu kuchepuka kikubwa oa mwenye hofu ya mungu peke yake .
N.b
Nimevunja bikra nyingi na bado naendelea kuvunja
No stress , nawasaidia waoaji.
Twende Pm tuyajenge kama wewe ni ke.Nina hamu ya kuchepuka
SanaaNimekutana na hiyo ya namba 7. Mme wake anagonga ngozi si kitoto. Hapigi kimoja hata siku moja. Pesa wanayo kiasi cha mboga si haba. Ila ndo mama ameamua kutumia pesa kuchepuka.
Ukimwuliza kwanini achepuke, anadai hapati faraja kwa mmewe kama ambavyo anapata kwa mchepuko.
Mchepuko uko mbali lakini mama anagharamia safari ya mwanaume afike aliko mwanamke japo akeshe nae night moja wakati mmewe kasafiri kibiashara. Kweli ndoa ni mtihani.
Mimi ni me, nakuja huko pmTwende Pm tuyajenge kama wewe ni ke.
Me unatumiaje avatar za kike namna hiyo?Mimi ni me, nakuja huko pm
Avatar isikudanganyeMe unatumiaje avatar za kike namna hiyo?
Usije ninyima bahati wewe mtoto wa kike.
Ukiamua hivyo ndivyo itakavyokuwa.kuchepuka ni uamuzi wako hulazimishwi.ukisema hapana kwa uthabiti hili siwezi kufanya.hutafanya.Nasimamia maneno yangu Shost kwa sbb sio lazima hii kitu au nakoseaa.
Usikaze ubongo mkuu mwanamke ambaye anaweza kumkumbuka x wake hata kama akiolewa ni yule aluyezalishwa au aliyejazwa mimba afu ikaharibika kwa njia ya kawaida au kwa ku fosiwa yaaani hata iweje jamaa akitaka atapiga tu fanya yoote atapiga tu.Kuoa bikra n kigezo cha uaminifu hadi mtu ana miaka 24 naaa, huwezi sema atachepuka kwny hio ndoa yake
Ukitoa dame bikra na sio mkeo anaweza chepuka kama hzo 7bu zpo mfano mawasiliano kuachana kwa muda nk
Ila wa ndoa hana kimbilio atarudi tuu