Zijue pete zenye utajiri wa ajabu

Zijue pete zenye utajiri wa ajabu

Ngoja waje walio tayari kuuza nafsi zao kwa mashetani kisa pesa.Angalizo kwa shetani hakuna cha bure sema mtoa mada hajaweka wazi hayo masharti ni pamoja na kutoa kafara mtu mwenye uhusiano wa karibu na wewe mfano mzazi au mtoto.
Karibu
 
f497994302a274908d6095991618c177.jpg

Tukiachana na hayo leo ningependa kukugusia kidogo kuhusu PETE zenye maajabu makubwa chini ya jua. Kwanza nikuhabarishe tu kuwa pete za Freemason zipo aina kumi na tatu (13) na pete zote hizo zina tofautiana uwezo wa kufanya maajabu. Unapoojiunga tu na freemason baada ya maelekezo kidogo unaapishwa na kupewa pete No, 01 ambayo inafamika kwajina ambalo siruhusiwi kulitaja hapa, pete hii inavaliwa baada ya kula kiapo maalumu cha kulinda na kuhifadhi siri zote za Freemason hadi mwisho wa uhai wako.
Kwa kawaida unapovalishwa pete hii na kula kiapo unatunukiwa cheo cha degree ya kwanza katika maisha yako ndani ya chama na degree hiyo inaendana na zawadi ya kiasi kisichopungua shilingi million mia moja ( Tsh.100,000,000) fedha hizo unapewa kwaajili ya kuanza biashara au kuendeleza biashara zako na unaweza kupewa zaidi kulingana na uongozi utakavyoona. Yapo masharti mbali mabali utakayopewa ambayo siwezi kuyaandika hapa lakini niseme tu yanatekelezeka kama una nia ya dhati.

4a7f86df6a5f20ba4ace327467eb57a9.jpg

Nadhani kwa leo niishie hapa kwenye hii pete ya kwanza siku nyingne nitakuja kuwaelezea ni jinsi gani pete ya pili inavyopatikana na kiasi cha pesa anachopewa mwanachama aliyetimiza masharti ya kuweza kuimiliki pete ya
pete zipo ila unachoandika hapa hakipo sawa...
 
Kwa mtindo wa mheshimiwa mawazo kama haya lazma yaje..
 
Hakuna umuhimu wa kupost kisha unasema "kitu fulani huwezi kutaja" baki na hadithi zako za abunuwazi.
Yaani utafikiri ni taarifa za kipolisi utaskia mtuhumiwa anajulikana lakini nisinge kumtaja watu wengine wasengerema Sana.
 
Aisee yale matangazo mnayobandika katika nguzo za umeme hayatoshi, mmeona mje kutupiga hadi huku JF??? Aisee hivi vyuma hivi vinafundisha ubunifu wa kila aina, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu wasubiri watakuja tu PM uwashughurikie vizuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Dahhh JPM legeza kidogo utaua huku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2211][emoji2211]
 
Back
Top Bottom