Zijue nchi inayoongaza kuwa na maafisa ubashiri wengi Afrika

Zijue nchi inayoongaza kuwa na maafisa ubashiri wengi Afrika

Joined
May 8, 2025
Posts
24
Reaction score
114
Nchi inayoongaza kuwa na maafisa ubashiri wengi afrika ni
1. South afrika - 83% ya maafisa ubashiri wanaweka majamvi.

2. Kenya - 79% ya maafisa ubashiri wanaweka majamvi.

3. Tanzania - 74% ya maafisa ubashiri wanapeleka moto.

4. Nigeria - 73% ya maafisa ubashiri wanaweka majamvi.

5. Uganda - 72% ya maafisa ubashiri wanaweka majamvi.

Wanaume 68% na wanaweka 32%
Maafisa ubashiri wenye umri Kati ya 25-34 ni 50%, 18-24 ni 30% na juu ya miaka 35 ni 20%.

Survey conducted by Geopoll in April 2025.

_20250607_012135.JPG
 
Back
Top Bottom