Zijue Nchi 10 zenye Barabara Bora Afrika. Afrika Mashariki hakuna nchi hata moja!

Ndomaana na mimi nimemwambia kuwa hili ni swala la kutengeneza ambalo mtu yoyote anaweza kulitengeneza kwa masilahi yake.

Amenambia mimi nabisha bila kuleta vyanzo vyangu. Nikamletea hivi hapa, kakimbilia kubisha 😂😂😂

Sasa vya kwangu anabisha, ila vya kwake tusibishe 🤣🤣🤣
Ila mnaikosea sana kuiweka Namibia juu ya SA aisee...SA wana bara bara aisee na wanafanya ukarabati mara kwa mara hasa kwa hizi National Road...R 24 ina Lane 5 kwenda na kurudi hivyo hivyo pana N1 ,N2 ,N 3 na N4 hayo madaraja ndio kabisaa sasa sijui hiyo R 24 unaweza kuifananisha na bara bara gani pale Namibia...
 
Ila mnaikosea sana kuiweka Namibia juu ya SA aisee...SA wana bara bara aisee na wanafanya ukarabati mara kwa mara hasa kwa hizi National Road...R 24 ina Lane 5 kwenda na kurudi hivyo hivyo pana N1 ,N2 ,N 3 na N4 hayo madaraja ndio kabisaa sasa sijui hiyo R 24 unaweza kuifananisha na bara bara gani pale Namibia...
No mkuu! Lengo langu sio kumaanisha kuwa Namibia iko juu ya South Africa, bali lengo langu lilikuwa ni kumuonesha kuwa hivyo vyanzo alivyovileta hapa vinatengenezwa na mtu yoyote, na anaweza kuiweka nchi yoyote namba 1 au 2.

Wakati mtoa mada alipoona nimepingana nae, akashangaa eti kwa nini nimepinga bila kuweka vyanzo vyangu ambavyo viko tofauti na vya kwake. Ndo na mimi kumuonesha kwamba hizo habari alizoleta huwa zinavyanzo tofauti tofauti vinavyotengenezwa na watu binafsi, nikamletea na mimi hiyo ili aone kwamba mwaka huu kuna mtu kasema South ni ya kwanza na Tz yetu haipo kwenye 10 bora, alaf kuna mungine huyo wa kwangu kasema Namibia ni ya kwanza pia Tz yetu ipo katika 10 bora.

Ukweli ni kwamba South Africa itabaki kuwa nchi yenye barabara bora Africa nzima na pia inaweza kushika nafasi ya 3 hadi 5 kwa nchi za Ulaya, hilo linafahamika vizuri mkuu.
 
No mkuu! Lengo langu sio kumaanisha kuwa Namibia iko juu ya South Africa, bali lengo langu lilikuwa ni kumuonesha kuwa hivyo vyanzo alivyovileta hapa vinatengenezwa na mtu yoyote, na anaweza kuiweka nchi yoyote namba 1 au 2.

Wakati mtoa mada alipoona nimepingana nae, akashangaa eti kwa nini nimepinga bila kuweka vyanzo vyangu ambavyo viko tofauti na vya kwake. Ndo na mimi kumuonesha kwamba hizo habari alizoleta huwa zinavyanzo tofauti tofauti vinavyotengenezwa na watu binafsi, nikamletea na mimi hiyo ili aone kwamba mwaka huu kuna mtu kasema South ni ya kwanza na Tz yetu haipo kwenye 10 bora, alaf kuna mungine huyo wa kwangu kasema Namibia ni ya kwanza pia Tz yetu ipo katika 10 bora.

Ukweli ni kwamba South Africa itabaki kuwa nchi yenye barabara bora Africa nzima na pia inaweza kushika nafasi ya 3 hadi 5 kwa nchi za Ulaya, hilo linafahamika vizuri mkuu.
Kutoa Airport ya Oliver Tambo na kuingia pale kama sio mtata unaweza kutokea departure wakati unatakiwa uende kupokea au ukaendelea na Borgsburg wakati lengo lako sio huko...
 
Kutoa Airport ya Oliver Tambo na kuingia pale kama sio mtata unaweza kutokea departure wakati unatakiwa uende kupokea au ukaendelea na Borgsburg wakati lengo lako sio huko...
Hapa ni sehemu fulani inaitwa Birch Leigh kama Km 7 hivi ufike Kempton park centre, na kama Km 10 hivi ufike OR Tambo international airport.

Ni area ya kawaida tu, lkn kametandikwa mkeka mpaka milangoni.
 

Attachments

  • IMG_20231118_103216.jpg
    IMG_20231118_103216.jpg
    1.4 MB · Views: 1
  • IMG_20231118_103227.jpg
    IMG_20231118_103227.jpg
    1.5 MB · Views: 1
  • IMG_20231118_102549.jpg
    IMG_20231118_102549.jpg
    733.2 KB · Views: 1
No mkuu! Lengo langu sio kumaanisha kuwa Namibia iko juu ya South Africa, bali lengo langu lilikuwa ni kumuonesha kuwa hivyo vyanzo alivyovileta hapa vinatengenezwa na mtu yoyote, na anaweza kuiweka nchi yoyote namba 1 au 2.

Wakati mtoa mada alipoona nimepingana nae, akashangaa eti kwa nini nimepinga bila kuweka vyanzo vyangu ambavyo viko tofauti na vya kwake. Ndo na mimi kumuonesha kwamba hizo habari alizoleta huwa zinavyanzo tofauti tofauti vinavyotengenezwa na watu binafsi, nikamletea na mimi hiyo ili aone kwamba mwaka huu kuna mtu kasema South ni ya kwanza na Tz yetu haipo kwenye 10 bora, alaf kuna mungine huyo wa kwangu kasema Namibia ni ya kwanza pia Tz yetu ipo katika 10 bora.

Ukweli ni kwamba South Africa itabaki kuwa nchi yenye barabara bora Africa nzima na pia inaweza kushika nafasi ya 3 hadi 5 kwa nchi za Ulaya, hilo linafahamika vizuri mkuu.
Wabishieni IMF

View: https://www.instagram.com/p/Czx4qt7qzjL/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Miundombinu ipi ikiwa Miaka yake 5 hakuna Barabara zozote za maana alijenga? Chini ya km 3,000 miaka 5

Acha kukariri,hakuna awamu Tanzania inajenga barabara nyingi kama Sasa hivi ,zaidi ya km 4,500 ziko under construction.

Sasa unadhani by 2030 tutakuwa tumejenga sio chini ya km 7,000 hii itakuwa ni rekodi ya Samia hakuna Rais amewahi kuifikia.
Km ngapi za lami ya kupuliza zimebomoka na zinahitaji kuwekewa viraka??
 
Tuko mbali kwenye vitu vingi sana ,hata hizi Barabara ni Kwa vile tuu Nchi yetu ni kubwa na pia Waasisi Wetu walianza vibaya Kwa kuelekeza rasilimali kwenye Mataifa Jirani eti wanatafuta uhuru ndio maana tumechelewa kidogo.

Lakini na uhakika by 2030 tutakuwa top 10 hapo.
SGR inaanza kufanya kazi lini?
Umeme utaacha kuwa anasa lini?
 
Acha mzaha,njia 8? Njia 4 zenyewe Mtihani ndio ije kuwa 8 lanes? Kwa Uchumi upi hasa? Sema tu upgrade standards za ujenzi
Matumizi ya Serikali ya mavietee, safari, mishahara mikubwa na vyeo vingi yakipunguzwa hata kwa nusu ni pesa nyingi sana.
 
Toa upumbavu wako hapa.Amekuwwpo Toka zama za Mkapa na ndio katuingiza Cha kike Jangwani na Flaivova la kisengerema.

Mbaya zaidi miaka yake 5 ya Urais amejenga chini ya km 2500 za lami ,Mikoa aliyoikuta haijaunganishwa na Lami na Jakaya ameondoka Iko hivyo hivyo.

Sasa Kwa taarifa Yako,Barabara zinazojengwa Sasa na Samia ni zaidi ya km 4,500 za lami na Hadi kufikia 2030 Samia kama atakuwa Rais ndio atakuwa Rais wa kwanza kujenga Barabara nyingi Tanzania.

Zitafikka km 7,000 ndani ya miaka 10.
Tanzania ina uhitaji wa Km ngapi za lami??
 
Matumizi ya Serikali ya mavietee, safari, mishahara mikubwa na vyeo vingi yakipunguzwa hata kwa nusu ni pesa nyingi sana.
Mara zote Huwa nasema nyie chadomo ni mbumbumbu tuu.Hata ulisema Serikali iacha kununua magari,spea na mafuta Bajeti yake Kwa mwaka ni bil.550.

Sasa hii haiwezi hata kumaliza Barabara ya Njia 4 ya km 200
 
Tuko mbali kwenye vitu vingi sana ,hata hizi Barabara ni Kwa vile tuu Nchi yetu ni kubwa na pia Waasisi Wetu walianza vibaya Kwa kuelekeza rasilimali kwenye Mataifa Jirani eti wanatafuta uhuru ndio maana tumechelewa kidogo.

Lakini na uhakika by 2030 tutakuwa top 10 hapo.
Hatujapiga hatua yoyote ya maana, nchi za Afrika zenye miundombinu bora ya barabara ni zile zilizopo upande wa Kusini mwa bara hili la Afrika, ukianza na Afrika ya Kusini pamoja na zile zilizopo upande wa Kaskazini na Magharibi mwa Afrika kama vile Misri, Moroco, Tunisia na Nigeria kwa kiasi fulani.
Nchi zilizopo upande wa Mashariki mwa Afrika na Afrika ya Kati nyingi zaidi kama siyo zote zina miundombinu mibovu ya barabara, pia ni nchi zilizo maskini zaidi barani Afrika na dunia nzima kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom