Zifahamu njia zitumikazo kutengeneza hizi dawa zinazouzwa pharmacy

Zifahamu njia zitumikazo kutengeneza hizi dawa zinazouzwa pharmacy

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Nikiwa Rais wa Tanzania kutakua na mpango wa kuzalisha dawa hapa Tanzania, je wajua njia za kutengeneza dawa???
Zifuatazo ni njia za kutengeneza dawa
  • Kama nchi tutategeneze library kubwa itakayokuwa na chemical or compound zinazopatika kwenye nature na zinaposes unique features kama;- ENGULF, BINDING, BLOCKING, MARKING, MESSENGER, BRAKE, na TRANSPORT zinaweza tumika na binadamu na viumbe wengine bila kuleta madhara ili kuendana na rule ya pharmacodynamic na pharmacokinetics
  • Mazoezi, tutafanyia mazoezi kwa kuzitengeneza hizi chemical ambazo ni potential novel therapeutics compound laboratory (man made) ili kama ikifanikiwa kuwa approval iwe rahis kuizalisha kwa wingi (mass production)
  • Target pathogens or cells, hapa unafanya sequencing analysis interm of genomic, proteomics, transcriptiomics, mebalomics na epigenomics, na Magnetic force analysis.
  • Magnetic force matching unatafuta target compound kwenye pathogens or cells ambayo zinaendana kwenye magnetic ili kumzuia na kumuua target pathogens au cells na chemical au compound kwenye library ambazo ita-match kutokana na lengo ulilokuwa nalo
  • Pre clinical trials, ukifanikiwa kupata chemical au compound inayo-matching unaenda kwenye pre Clinical trials
  • Clinical trials- ukifanikiwa kwenye pre Clinical trials unaenda kwenye cliinical trials kwa binadamu
  • Àpproval- Clinical trials ikiwa na efficacy ya zaidi ya asilimia 41 unaweza apply kwa ajili ya approval ili iweze kuuzwa sokoni
Nikiwa Rais msisitizo utakuwepo kwenye hatua mbili za kwanza ya kutengeneza library (database) na mazoezi, huku kuendelea watafanya kampuni za kitanzania

Kwenye video nimeelezea kwa uzuri na utaelewa vizuri


Usisahau kussuport hustle zangu
 
Kutengeneza dawa ni process ngumu sana ila tukiwekeza sana kwenye msingi ambao nimeongolea wa point ya kwanza na ya mwisho basi ugumu utapungua
 
Nikiwa Rais wa Tanzania kutakua na mpango wa kuzalisha dawa hapa Tanzania, je wajua njia za kutengeneza dawa???
Zifuatazo ni njia za kutengeneza dawa
  • Kama nchi tutengeneze library kubwa itakayokuwa na chemical or compound zinazopatika kwenye nature na zinaposes unique features kama;- engulf, binding, blocking, marking, na brake
  • Mazoezi, tutafanyia mazoezi kwa kuzitengeneza hizi chemical kwa njia ya laboratory (man made)
  • Target pathogens or cells
  • Matching unatafuta compound compound compound kwenye library ambazo ita-match kutokana na lengo ulilokuwa nalo
  • Pre clinical trials, ukifanikiwa kupata chemical au compound inayo-matching unaenda kwenye pre Clinical trials
  • Clinical trials- ukifanikiwa kwenye pre Clinical trials unaenda kwenye cliinical trials kwa binadamu
  • Àpproval- Clinical trials ikiwa na efficacy ya zaidi ya asilimia 41 unaweza apply kwa ajili ya approval ili iweze kuuzwa sokoni
Nikiwa Rais msisitizo utakuwepo kwenye hatua mbili za kwanza ya kutengeneza library (database) na mazoezi, huku kuendelea watafanya kampuni za kitanzania

Kwenye video nimeelezea kwa uzuri na utaelewa vizuri
View attachment 3359151
Una plan kuwa rais lini buashee?
 
Tumeshakubaliana kuwa Bangi ya Mahenge isiwekee kwenye fridge
 
Kwa hiyo Wewe kipaumbele chako ni dawa tu?
Hata kama chakula hakuna raia wako wawe wanashindia madawa tu?
Afadhali hata kumpa Urais Hashim Rungwe raia watakuwa wanashiba ubwabwa kuliko tukupe wewe
 
Kwa hiyo Wewe kipaumbele chako ni dawa tu?
Hata kama chakula hakuna raia wako wawe wanashindia madawa tu?
Afadhali hata kumpa Urais Hashim Rungwe raia watakuwa wanashiba ubwabwa kuliko tukupe wewe
Nina nyuzi karibia 50 na zote zina maono niliyonayo juu ya Tanzania na zimeelezea mambo tofauti tofauti
 
Ukifika ntawajulisha ntatumia chama kipi
Nikiwa Rais wa Tanzania kutakua na mpango wa kuzalisha dawa hapa Tanzania, je wajua njia za kutengeneza dawa???
Zifuatazo ni njia za kutengeneza dawa
  • Kama nchi tutategeneze library kubwa itakayokuwa na chemical or compound zinazopatika kwenye nature na zinaposes unique features kama;- engulf, binding, blocking, marking, na brake na zinaweza tumika na binadamu na viumbe wengine bila kuleta madhara
  • Mazoezi, tutafanyia mazoezi kwa kuzitengeneza hizi chemical ambazo ni potential novel therapeutics compound laboratory (man made) ili kama ikifanikiwa kuwa approval iwe rahis kuizalisha kwa wingi (mass production)
  • Target pathogens or cells
  • Matching unatafuta compound compound compound kwenye library ambazo ita-match kutokana na lengo ulilokuwa nalo
  • Pre clinical trials, ukifanikiwa kupata chemical au compound inayo-matching unaenda kwenye pre Clinical trials
  • Clinical trials- ukifanikiwa kwenye pre Clinical trials unaenda kwenye cliinical trials kwa binadamu
  • Àpproval- Clinical trials ikiwa na efficacy ya zaidi ya asilimia 41 unaweza apply kwa ajili ya approval ili iweze kuuzwa sokoni
Nikiwa Rais msisitizo utakuwepo kwenye hatua mbili za kwanza ya kutengeneza library (database) na mazoezi, huku kuendelea watafanya kampuni za kitanzania

Kwenye video nimeelezea kwa uzuri na utaelewa vizuri
View attachment 3359151
Pole na kazi Mr president
 
Back
Top Bottom