JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,383
- 9,836
Ninavyojua.
Ubora wa simu hupimwa kwa namna soko lilivyoipokea, ndiyo maana Nokia jeneza mpaka leo ni simu bora ya wakati wote kwa mwitikio iliyoupata sokoni.
Sasa hapa naona mtu kasema bora ila hajafafanua SI unit iliyotumika kuhukumu.
Hivi unaweza kuweka Lenovo na Motorola ila HTC, Google, One + na Sony umewatupia mbali?
Aisee hapana. Hili shimo sidumbukii
Wewe acha kufanya mambo kwa utashi wako. Hao HTC google one plus na sony wameuza pic ngapi q1 ya mwaka 2020?
Haya list hii hapa ya q1
Hao vivo na oppo wanafanya vizuri sokoni kuliko kampuni ulizotaja hapo juu.