namraroh
Senior Member
- Sep 9, 2010
- 112
- 122
Hbr ya leo JF fans and members,
kwa kweli naona sasa tunapokwenda sipo kabisa.
Leo Mh. Rais yupo ziarani mkoa wa Pwani, hiyvo tumelazimika kukaa barabarani kwa zaidi ya saa moja kupisha apite. Sasa tunaenda wapi na kauli yake ya hapa kazi tu, Tanzania ya viwanda na kadhalika?
Napenda kuwashauri ndugu zangu wa usalama wabuni njia mbadala badala ya kukwamisha shughuli nyingine za kimaendeleo kwa muda wote huu, naamini kabisa Mh. rais hajui nini kinaendelea huku barabarani
kwa kweli naona sasa tunapokwenda sipo kabisa.
Leo Mh. Rais yupo ziarani mkoa wa Pwani, hiyvo tumelazimika kukaa barabarani kwa zaidi ya saa moja kupisha apite. Sasa tunaenda wapi na kauli yake ya hapa kazi tu, Tanzania ya viwanda na kadhalika?
Napenda kuwashauri ndugu zangu wa usalama wabuni njia mbadala badala ya kukwamisha shughuli nyingine za kimaendeleo kwa muda wote huu, naamini kabisa Mh. rais hajui nini kinaendelea huku barabarani