Mwl. Kaijage
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 216
- 214
Kijana, weka picha yenye nyomi inayoeleweka! Sio kuhangaikahangaika na tupichapicha tudogodogo!
anaweka nyomi ya mikono
Hamuwezi kutikisa nchi kwa mwenyekiti mchovu namana hiyo, sana sana mtajitikisa wenyewe.Ziara za chama cha ACT-WAZALENDO kutikisa nchi na watu wengi kutimkia chama cha ACT-WAZALENDO
Ziara za chama cha ACT-WAZALENDO kutikisa nchi na watu wengi kutimkia chama cha ACT-WAZALENDO
ACT ndo habari ya mjini kwa sasa, Chadema ngoja tuwaachie wachaga
​Ni kweli kiongozi, mana ACT ni ya wanakigomaACT ndo habari ya mjini kwa sasa, Chadema ngoja tuwaachie wachaga