Ziara za ACT - Wazalendo kutikisa nchi

Ziara za ACT - Wazalendo kutikisa nchi

Chama cha Ayatollah. Jamaa analoga balaa.Yaani kajimilikisha Chama Kikatiba halafu wapambe wake wanakata viuno vya maneno huku JF balaa
 
umesema kutikisa nchi mpaka sasa mmetikisa nini naona hela ya media hamna tena na media sasa hazioni hata story ya kuwaweka kwenye page hata ya habari za mikoani hata kwenye kiu mlisema mnaanza na arusha imekuaje njooni tuu muone anna anaujua mziki ni mamluki toka kipind cha nassary alipokuja kwenye kura za maoni hasumbi kichwa Ziggo huku arusha ukisikia mbeya city ujue ni ACT Wasaliti
Vipofu kama wewe hawakosi
 
Chama cha ACT-WAZALENDO ndicho chama ambacho kwa sasa ndio tegemeo la Watanzania kwa sasa.
Watu wanazidi kumiminika na kuchukua kadi za chama cha Wazalendo.

Safi sana Mwalimu kaijage,tunakukubari sana
 
mie ni mwana ACT-WAZALENDO na wala sio wa kigoma.
DUNSTAN BUBERWA NTAMILYANGO.
KATIBU ACT-WAZALENDO,
MKOA WA KAGERA.
0759-829015.
Wakisema CDM ni ya wachaga kwani wanachama wote wachaga..........we Katibu wamekuokoa wapi??? Ndo mana kwenye Mkutano tar 10 April pale Ruvuma Afande Sele atakuwa msemaji kati ya wasemaji wakuu
View attachment 240975View attachment 240976
 
Mtalazimisha promo hata pa ovyo mwaka huu!!
 
Chama cha ACT-WAZALENDO ndicho chama ambacho kwa sasa ndio tegemeo la Watanzania kwa sasa.
Watu wanazidi kumiminika na kuchukua kadi za chama cha Wazalendo.


Tatizo letu Watz, historia inaonyesha bayana kuwa huwa hatujiamini na kukosa misimamo. Na udhaifu huo ndiyo utakao wapa CCM kutawala milele kama wajinadivyo. Labda niwaambie ukweli tu kuwa ACT irachukua miaka zaidi ya kumi chama la ukweli na hilo kitawezekana tu endapo wengi wetu tutaendelea kuwa mamburula wa kisiasa kama wengi walivyokumbilia kujiunga na ACT bila hata kukaa chini na kutafakari kwa makini chimbuko la ACT. Re think and take action! Tutadanganywa kitoto hivi mpaka lini? Kwa sasa hakuna chama kingine cha kutuvusha hapa tulipo zaidi ya CHADEMA kupitia UKAWA.
 
Chama cha ACT-WAZALENDO ndicho chama ambacho kwa sasa ndio tegemeo la Watanzania kwa sasa.
Watu wanazidi kumiminika na kuchukua kadi za chama cha Wazalendo.


Tatizo letu Watz, historia inaonyesha bayana kuwa huwa hatujiamini na kukosa misimamo. Na udhaifu huo ndiyo utakao wapa CCM kutawala milele kama wajinadivyo. Labda niwaambie ukweli tu kuwa ACT itachukua miaka zaidi ya kumi kuwa chama la ukweli na hilo litawezekana tu endapo wengi wetu tutaendelea kuwa mamburula wa kisiasa kama wengi walivyokimbilia kujiunga na ACT bila hata kukaa chini na kutafakari kwa makini chimbuko la ACT. Re think and take action! Tutadanganywa kitoto hivi mpaka lini? Kwa sasa hakuna chama kingine cha kutuvusha hapa tulipo zaidi ya CHADEMA kupitia UKAWA.
 
Chama cha ACT-WAZALENDO ndicho chama ambacho kwa sasa ndio tegemeo la Watanzania kwa sasa.
Watu wanazidi kumiminika na kuchukua kadi za chama cha Wazalendo.

Mwalimu na wewe unavituko,mtu aliyejaa kipara kichwani na sehemu zisizojulikana,miamba yote na milima yote iko chini yake,alishindwa kutikisa ardhi ya Tanzania sembuse ACT?.
 
ACT hawana lolote ni tamaa tu ndo zinazowasumbua wanafikiri watanzania ni wajinga kiasi hicho ya kuwa kila mtu ajianzishie chama apendavyo. kiukweli siku zitto chama kitapomfia ndo atapojua ya kuwa usaliti ni kitu kibaya. amkumbuke mwenzake jina linahidhiwa kulingana na heshima yake aliyokuwa nayo kipindi cha uongozi ndani ya siasa. aliwahi kutamka kwa kinywa chake ya kuwa yeye kurudi ccm ni sawa na kumlala mama yake mzazi lakini mambo yalimwiya mqagumu akarudi ccm ambako kwake alikuwa anaona kama sumu fulani. kwa hiyo najaribu kutoa nafasi ili zitto naye ajiangalie katika mwenendo wake aliouanza kwani hata huyu baba alikuwa na jina kubwa sana enzi zake
 
Tatizo letu Watz, historia inaonyesha bayana kuwa huwa hatujiamini na kukosa misimamo. Na udhaifu huo ndiyo utakao wapa CCM kutawala milele kama wajinadivyo. Labda niwaambie ukweli tu kuwa ACT irachukua miaka zaidi ya kumi chama la ukweli na hilo kitawezekana tu endapo wengi wetu tutaendelea kuwa mamburula wa kisiasa kama wengi walivyokumbilia kujiunga na ACT bila hata kukaa chini na kutafakari kwa makini chimbuko la ACT. Re think and take action! Tutadanganywa kitoto hivi mpaka lini? Kwa sasa hakuna chama kingine cha kutuvusha hapa tulipo zaidi ya CHADEMA kupitia UKAWA.

mtazamo wako
 
Kwa vile ni mkutano wao wa kwanza tangu chama kizinduliwe nilitegemea leo kusikia matangazo iwe redioni au mitandaoni lakini hadi sasa mwl. Kaijage yuko kimya au wameahirisha.
 
Tatizo letu Watz, historia inaonyesha bayana kuwa huwa hatujiamini na kukosa misimamo. Na udhaifu huo ndiyo utakao wapa CCM kutawala milele kama wajinadivyo. Labda niwaambie ukweli tu kuwa ACT irachukua miaka zaidi ya kumi chama la ukweli na hilo kitawezekana tu endapo wengi wetu tutaendelea kuwa mamburula wa kisiasa kama wengi walivyokumbilia kujiunga na ACT bila hata kukaa chini na kutafakari kwa makini chimbuko la ACT. Re think and take action! Tutadanganywa kitoto hivi mpaka lini? Kwa sasa hakuna chama kingine cha kutuvusha hapa tulipo zaidi ya CHADEMA kupitia UKAWA.
Ha ha ha, chadema kupitia ukawa, so mmejificha kwenye kivuli cha ukawa. Sijui CUF , NCCR na NLD wanajionaje wakiona ubinafsi wenu huu.
 
Km una luluki la mikoa inayotoa watu wanaofuatilia vigazeti vya shigongo kwa bidii kuliko hata chakula.Huo ndio mtaji wa Zitto kuwamwagia vimisemo vy akujifagilia sana na kurudia rudia na kuwapanga wapuuzi ktk sanaa ambao nao wataongea ujinga.Lazima walio na akili wazidiwe na mzigo wa mapuuzi,mzigo wa kodi kwa vile mapuuzi hayalipi,na mzigo wa kwenda hospital hazina hela kwani mapuuzi hayajalipa kodi na ktk matumizi ndio yapo no moja na wizi wa kinachosaidia wao ndio number moja.Utafanya nini ukifungulia wanyama walafi ktk bustani,hata wakishiba wanataka lala juu ya chagula mwingine asile,na kulima hataki wala hawezi.
 
th

 
Kwa vile ni mkutano wao wa kwanza tangu chama kizinduliwe nilitegemea leo kusikia matangazo iwe redioni au mitandaoni lakini hadi sasa mwl. Kaijage yuko kimya au wameahirisha.

Hamkosi la kusema nyie tumeshawazoea... kwenye uzinduzi mmeshupaa kwanini chama kinajitangaza sana kwenye vyombo vya habari badala ya kufanya mikutano kwa wananchi, Juzi Zitto kakutana na Waandishi wa Habari mkamchongo kuwa ni chama cha kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Na leo wanaenda kufanya mkutano mnaibuka na kudai kwanini chama hakijajitangaza kuhusu mkutano huo.

Mnaloliongea leo silo mnaloliongea kesho na ikifika kesho kutwa mnakuja kusema kwanini hamjafanya kama juzi. Yaan hata hamueleweki mnataka nini mradi mpinge kila kitu kifanywacho na ACT.

Kitu pekee mnachonifurahisha ni kuwa wengi wenu mna vichwa ya panzi. Mnawahi kusahau jana mlisema nini, matokeo yenu mnaishi maisha ya kula matapishi yenu.
 
Back
Top Bottom