mkandi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 281
- 121
Maanake ni kwamba; hawatapata free market ya Blue band. Hivyo mapato yataongezeka. Na viwanda vya ndani vitaimarika na uwekezaji pia. Though haimaanishi hatuwahitaji wakenya, lakini nadhani wanatuhiji zaidi.Nani anakuanganya? Hata blue band unayotumia ni made in Kenya. Nitajie watanzania watatu tu wenye investment za maana Kenya
tragedy of the commons