wakenya wana roho mbaya sana nimepata bahati ya kukutana nao katika mambo mengi kama masomo,michezo nilipokuwa chuoni huko kwao na nchini uganda na hapa nchini jamaa wanaroho mbaya na wakabila wakuu mkenya sio mwenzako najua kwa akina raila na wajaluo na ODM wamechukulia hii kama ushindi kwao ila kwa PNU ndio wanaweweseka alah
Nawakubali sana Wakenya
Nani anakuanganya? Hata blue band unayotumia ni made in Kenya. Nitajie watanzania watatu tu wenye investment za maana Kenya
Duh uko mbali kweli wewe unaijua TANBOND? Museveni anataka kubaki madarakani hata huyo Kony kamtengeneza mwenyewe ndio mana ile operation yao na US imesitishwa baada ya wazee kugundua ni danganya toto, Kagame mlisha msema sana humu hata kwenye Genocide yenyewe ana mkono wacha ya DRC, kuhusu Uhuru, Obama waziwazi utawala wake haukutaka ashinde uchaguzi na meseji aliituma kwa wananchi wa kenya na bado icc inamsubiri wanahisi wako vulnerable for anything, wanajilinda, bado kuwaita wajinga sidhani kama ni sahihi si wana wananchi wao, wataamua, ukweli bila TZ jumuhia hiyo haitadumu hata mwaka mmesahau majeshi ya kagame na museveni yalivyochapana kule kongo? ilikua ni nini? almasi?Nani anakuanganya? Hata blue band unayotumia ni made in Kenya. Nitajie watanzania watatu tu wenye investment za maana Kenya
waigope tz kwa lip.......Siyo ivo tu! Nimetazama BBC Mfanyabiashara wa kenya anasema alialikwa na Obama na hajaja kwa kuwa Wakenya wamefedheheshwa na Wao sio ombaomba.
Intake
Wakenya wameanza kuiogopa tz? Wakenya fakunana sana.
Shilingi 1000 ya KENYA ni Shilingi 19200 ya Tanzania.wako mbali sana.Tatizo wezetu wana aina ya Viongozi wa kuiendeleza nchi yao sisi tuna Viongozi wanaoididimiza nchi yetu.ndiyo maana tunarasili mali nyingi kuliko wakenya lakini wakenya wanatumia vizuri kidogo chao,Ndiyo maana wanatuzidi.Mkuu Albedo umemjibu huyo jamaa vizuri na kwa mfano mfupi tu,nilichojifunza watu wanapenda kuropoka tu,pasipo kuwa na ufahamu wa mambo,wakenya kwetu ni potential sana katika mstakabali wa bidhaa zinahitajika ktk maisha yetu ya kila siku,tuna vitu vingi sana pia tunategemea kutoka kwao
Tulishambwambia Kikwete hatuwataki MANYANG'AU kwani walishatuliza sana sasa yanatukutaNawakubali sana Wakenya
1. Mokoyo,Nani anakuanganya? Hata blue band unayotumia ni made in Kenya. Nitajie watanzania watatu tu wenye investment za maana Kenya
Hayo ya kwao ni ccm ndiyo waliokuwa wanampigia debe Kenyatta ashinde, kasoro Magufuli aliyejibambanua wazi kuwa upande wa Odinga, watavuna walichokipanda
Mkuu Riwa asichokijua Albedo ni kwamba soko la bidhaa za Kenya Tanzania ni kubwa sana siku tukiamka tukazizuia bidhaa za Kenya watafunga viwanda vingi.Marekani inatoa heshima kubwa kwa nchi ya China kwasababu ya soko kubwa walilonalo China.Tanzania ni nchi ya pili kwa kununua bidhaa nyingi Kenya ya kwanza ni UK ipo Ulaya,viongozi wetu wakitumia nguvu ya soko,ukubwa wa ardhi na rasilimali kibao zinazowaleta viongozi wa mataifa makubwa Tanzania kila wakati ni wazi kabisa Tanzania ni super power within EAC.