Ziara ya Obama; Kenya wazidi kuitenga Tanzania, waishawishi Burundi kujiunga G4

Nafikiri tunaenda mbali sana na ukweli. Nchi za EAC zina corridor 2: kaskazini na Kati. Kaskazini ni ile ya kutoka Mombasa, Kampala, Kigali na Bujumbura ilhali ya Kati ikitokea Dar, Rusumo Kigali na Dar, Ngara na Bujumbura.
Walipokutana nchini Uganda walijadili corridor ya Kaskazini na huko nyuma nchi za Rwanda, Burundi na Tanzania zimekutana Mara nyingi kujadili corridor ya Kati.
Nchi zisizokuwa na bandari zinataka njia mbadala na wana haki hiyo ndani ya EAC treaty. Tuangalie tusinyang'anywe soko tu!
 
Burundi inaitegemea tanzania kwa asilimia 99 km leo hii tanzania ikifunga mipaka yake kisawasawa baada ya miezi 3 burundi wataangamia kwa njaa na ukosef wa mafuta, kenya inategemea soko la tanzania kwa zaidi ya asilimia 50, uganda wanalishwa na tanzania, rwanda inategemea bandari ya na barabara za tanzania kupitisha mizigo yao. Hivyo inatubasa kujenga ujirani mwema na kuepuka chuki na wivu wa kike kama huyu muuaji bwana kagame na rafiki ya ambaye karibu anaingia gerzani kwa shutuma za mauaji bwana kenyata
 
Burundi inaitegemea tanzania kwa asilimia 99 km leo hii tanzania ikifunga mipaka yake kisawasawa baada ya miezi 3 burundi wataangamia kwa njaa na ukosef wa mafuta, kenya inategemea soko la tanzania kwa zaidi ya asilimia 50, uganda wanalishwa na tanzania, rwanda inategemea bandari ya na barabara za tanzania kupitisha mizigo yao. Hivyo inatubasa kujenga ujirani mwema na kuepuka chuki na wivu wa kike kama huyu muuaji bwana kagame na rafiki ya ambaye karibu anaingia gerzani kwa shutuma za mauaji bwana kenyata. Mseveni ye sina wasiwasi naye maana bado anakumbuka kipigo alichopewa kaka yake idi amini
 
Back
Top Bottom