Ziara ya kanda ya ziwa ametuthibitishia kuwa hakuna uchaguzi huru tena

Ziara ya kanda ya ziwa ametuthibitishia kuwa hakuna uchaguzi huru tena

Kajitangaza kawa ni mshindi tiyari wa urais, ni yeye anayeamua nani awe au asiwe mbunge, tiyari keshaanza kugawa nafasi zake 10 za ubunge. Je kuna haja tena ya kupoteza mabilioni ya kodi zetu kwenye uchaguzi fake?
INEC wana maagizo ya kumtangaza yeye na chama chake kushinda kwa 99%
 
Hakuna mtu anayeweza kujitangaza mshindi kabla ya kura. Without fair elections, power becomes a game of the few, not the people's voice. Kodi zetu ni kwa ajili ya uhuru wa kila raia, si kugawa nafasi kwa mikono mingi kabla ya uchaguzi.
 
Kajitangaza kawa ni mshindi tiyari wa urais, ni yeye anayeamua nani awe au asiwe mbunge, tiyari keshaanza kugawa nafasi zake 10 za ubunge. Je kuna haja tena ya kupoteza mabilioni ya kodi zetu kwenye uchaguzi fake?
Hana akili
 
Back
Top Bottom