Ziara ya Hillary Clinton kuja: Picha na Matukio

Ziara ya Hillary Clinton kuja: Picha na Matukio

inaonyesha syimbio company ni ya halali,hapo naona hatujapigwa changa la macho
 
Tanzania Daima ya leo ambayo imesomwa na vituo kadhaa vya TV na Redio
Duh! Tumevurugwa mpaka hatujielewi.hili picha nahisi hata Mzee Mwanakijiji limeshamchosha maana alijitoa sana kufichua ukweli ila sasa hata yeye kama amekata tamaa na hatua zinazochukuliwa juu yake.wananchi ndo kabisaaaa kizunguzungu wanachotaka umeme unapatikanaje na kwa faida gani?
 
Kwani anakuja lini? Tukumbuke there is no free launch from the US.

Hapo umenena kweli, tutegemee kupata umeme lakini Uranium, Copper, Dhahabu, Diamond, Nickel na bila kusahau kitu ghali Tanzanite kubebwa kama njugu au maharage ya mbeya tena bila Taxes wala kupitia DIA au KIA ni juu kwa juu hadi akili itakapotuingia vizuri.
 
Duh! Tumevurugwa mpaka hatujielewi.hili picha nahisi hata Mzee Mwanakijiji limeshamchosha maana alijitoa sana kufichua ukweli ila sasa hata yeye kama amekata tamaa na hatua zinazochukuliwa juu yake.wananchi ndo kabisaaaa kizunguzungu wanachotaka umeme unapatikanaje na kwa faida gani?

Mwanakijiji bado anafanya mambo, soon atakuja na kitu kikali subirini. Pengine kuna nyeti zinafichwa ndo anazifuatilia.
 
Hujasoma CV za wamiliki wa symbion?!, wamiliki ni senior oficers wa CIA no wonder mtaji umetolewa na federal gvt hata hivyo wanatusaidia kwani Richmond=Dowans=symbion ni genuin companies za awali,tuliziwekea mizengwe kwasababu Samwel alikosa u-PM na Mwakyeme alitaka kuzalisha umeme kwa power pool. Na tujiandae sasa US wanatusimikia rais anayaweza kufanya kazi, asiye endekeza kiduku naye ni Edward Lowasa.
 
Source mkuu?

[TABLE="width: 879"]
[TR]
[TD="bgcolor: #ffffff"][TABLE="width: 599"]
[TR]
[TD]Hillary Clinton kutua nchini
• KUTEMBELEA MITAMBO ILIYONUNULIWA KWA DOWANS

na Datus Boniface

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD="width: 140, bgcolor: #FFFFFF"]
amka2.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][TABLE="width: 599"]
[TR]
[TD]
WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani, Hillary Cliton, anatarajiwa kuwasili nchini leo katika ziara inayoelezwa kuwa ya kirafiki yenye lengo la kuendeleza uhusiano mzuri kwa nchi hizo mbili.
Cliton atakuwa kiongozi wa tatu wa ngazi za juu nchini Marekani kutembelea Tanzania, wa kwanza akiwa Rais wa zamani Bill Clinton, mwaka 2000 na Rais George Bush aliyetembelea mwaka 2008.
Mbali na viongozi hao wakuu kutembelea hapa nchini, kitendo cha Rais Kikwete kuwa Rais wa kwanza wa Afrika kukutana na Rais wa nchi hiyo, Barack Obama, miezi michache baada ya kuchaguliwa kuliongoza taifa hilo kubwa kinaonyesha jinsi Tanzania ilivyo karibu na taifa hilo ambalo limejizolea maadui wengi kutokana na sera yake ya kupinga ugaidi.
Ujio wa waziri huyo, unaweza kusababisha baadhi ya shughuli kusimama kwenye maeneo ya jiji atakakopita na kutembelea.
Usalama katika jji la Dar es Salaam unategemewa kuimarishwa zaidi kama ilivyokuwa wakati wa ziara ya Rais Bush takriban miaka mitatu iliyopita.
Inaelezwa Clinton atakapokuwa nchini, ziara yake itaanza kwa kukutana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Naibu Waziri Mkuu wa Ireland, kuzungumzia mradi wa siku 1000 za lishe nchini.
Vivyo hivyo kesho atakuwa na ratiba kali ambapo ataongozana na Pinda kutembelea chama cha ushirika cha wakulima kilichoko Mlandizi, Kibaha, mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na ubalozi wa Marekani, Waziri Cliton siku hiyohiyo atapata fursa ya kutembelea mitambo ya kufua na kuzalisha umeme ya Symbion iliyoinunua toka katika kampuni iliyokuwa ikipigiwa kelele ya Dowans.
Kutembelea mitambo hiyo kunatokana na kampuni hiyo ya Symbion kutoka nchini Marekani, nchi ambayo pia msaada katika Mradi wa Changamoto za Milenia (MCC) unatokea.
Akiwa katika mitambo hiyo, Hillary Cliton atakutana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Symbion Power LLC, Paul Hinks, na Ofisa Mkuu Mtendaji wa MCC, Daniel Yohannes.
Kwa mujibu wa ratiba hiyo, kiongozi huyo kesho hiyo hiyo atapata fursa ya kutembelea kituo cha afya cha wanawake kilichoko Buguruni, ambacho kinahusika na masuala ya virusi vya ukimwi na uzazi.
Waziri huyo atamaliza ziara yake ya siku hiyo kwa kukutana na Rais Jakaya Kikwete na kufanya naye mazungumzo ambapo pia watakuwa na mkutano wa pamoja na waandishi wa habari.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
mama anaingia na JK huyooooooooooooooooo mkutano wa Sadeki kusini??!! mama kukagua mitambo LE na AR saaaaaaaafi!!

Jk hawezi kuondoka na kumwacha mtoa misaada na wasaidizi wake,hata ratiba ya mwisho inaonyesha kuwa atateta na Mkulu wa nchi

isije ikawa kuuziwa kinondoni kama walivyo uza kigamboni
 
Wajuaa wanatoa pesa nyingi sana kwenye bajeti na miradi mingine!!hilo ni onyo kwa JK na serikali yake kuacha ufisadi kwa faida maendeleo ya wananchi!!wameamua kutusaidia kuinunua iuze umeme bei ndg sana....ili Tanesco imudu kusambaza umeme pia mpango upo kununua iptl kumaliza ufisadi sekta ya nishati na madini!!! wameamua kutusaidia......tuna shida lakini wizi na tamaa umetujaa!!!RA na EL watalipwa chao waachane na mitambo ile!!!kumbuka walikopa kwa el adawi!!

duuuuu hii mpya mkuu
kwa hiyo unamaanisha mama anakuja ku clear madeni yote tunayodaiwa na dowans? na kama ni hivyo ina maanisha hata hiyo mitambo ya Symbion power inamilikiwa na mama ama USA kwa ujumla,kwani wakati wa Dowans hakuna kiongozi kutoka USA kuja kuikaguwa mitambo hiyo
 
[TABLE="width: 879"]
[TR]
[TD="bgcolor: #ffffff"][TABLE="width: 599"]
[TR]
[TD]Hillary Clinton kutua nchini
• KUTEMBELEA MITAMBO ILIYONUNULIWA KWA DOWANS

na Datus Boniface
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD="width: 140, bgcolor: #FFFFFF"]
amka2.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][TABLE="width: 599"]
[TR]
[TD]
WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani, Hillary Cliton, anatarajiwa kuwasili nchini leo katika ziara inayoelezwa kuwa ya kirafiki yenye lengo la kuendeleza uhusiano mzuri kwa nchi hizo mbili.
Cliton atakuwa kiongozi wa tatu wa ngazi za juu nchini Marekani kutembelea Tanzania, wa kwanza akiwa Rais wa zamani Bill Clinton, mwaka 2000 na Rais George Bush aliyetembelea mwaka 2008.
Mbali na viongozi hao wakuu kutembelea hapa nchini, kitendo cha Rais Kikwete kuwa Rais wa kwanza wa Afrika kukutana na Rais wa nchi hiyo, Barack Obama, miezi michache baada ya kuchaguliwa kuliongoza taifa hilo kubwa kinaonyesha jinsi Tanzania ilivyo karibu na taifa hilo ambalo limejizolea maadui wengi kutokana na sera yake ya kupinga ugaidi.
Ujio wa waziri huyo, unaweza kusababisha baadhi ya shughuli kusimama kwenye maeneo ya jiji atakakopita na kutembelea.
Usalama katika jji la Dar es Salaam unategemewa kuimarishwa zaidi kama ilivyokuwa wakati wa ziara ya Rais Bush takriban miaka mitatu iliyopita.
Inaelezwa Clinton atakapokuwa nchini, ziara yake itaanza kwa kukutana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Naibu Waziri Mkuu wa Ireland, kuzungumzia mradi wa siku 1000 za lishe nchini.
Vivyo hivyo kesho atakuwa na ratiba kali ambapo ataongozana na Pinda kutembelea chama cha ushirika cha wakulima kilichoko Mlandizi, Kibaha, mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na ubalozi wa Marekani, Waziri Cliton siku hiyohiyo atapata fursa ya kutembelea mitambo ya kufua na kuzalisha umeme ya Symbion iliyoinunua toka katika kampuni iliyokuwa ikipigiwa kelele ya Dowans.
Kutembelea mitambo hiyo kunatokana na kampuni hiyo ya Symbion kutoka nchini Marekani, nchi ambayo pia msaada katika Mradi wa Changamoto za Milenia (MCC) unatokea.
Akiwa katika mitambo hiyo, Hillary Cliton atakutana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Symbion Power LLC, Paul Hinks, na Ofisa Mkuu Mtendaji wa MCC, Daniel Yohannes.
Kwa mujibu wa ratiba hiyo, kiongozi huyo kesho hiyo hiyo atapata fursa ya kutembelea kituo cha afya cha wanawake kilichoko Buguruni, ambacho kinahusika na masuala ya virusi vya ukimwi na uzazi.
Waziri huyo atamaliza ziara yake ya siku hiyo kwa kukutana na Rais Jakaya Kikwete na kufanya naye mazungumzo ambapo
pia watakuwa na mkutano wa pamoja na waandishi wa habari.


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ni ya kawaida katika RED = Hahahamaadi - symbion!!!!!!!!!!
 
Sasa ndipo mtakapojua hiyo mitambo ni ya Jakaya Kikwete alishirikiana na mafisadi papa wenzake.
 
Neo Colonialism at work!, soon utashangaa JK anapigwa pressure na wanaomiliki Uchumi wa Dunia, kuiprivatize TANESCO, then Tayari weshajipnga kufua umeme nchini, wao ndo watapigiwa pande!. vitu kama hivi ndo Ghadafi alikataa, na sasa ona wanamvyomfanya.
Kweli not yet Uhuru.
 
china is beating us in their own dirty game now they are starting to cry!
 
Ukitaka kujuwa uhusuano wa safari ya Hilary Clinton na Symbion basi inabidi umjue chairman wa Symbion - Ambassador Joe Wilson. Huyu bwana ni former US Diplomat na niseme ni former State Department guru, lakini uguru wake uko kwenye ushushushu, tena elite. Both yeye na mke wake infact, na wamekuwa wanafanya kazi (kama balozi) kwenye nchi zenye 'madini'.

Joe analijuwa bara la Africa vilivyo na hasa nchi kama DRC! Huko nyuma nilipojaribu kuelezea ujio wa Symbion na madini na ushushu wa Joe Wilson kuna mwanaJF mmoja alisema ni blah blah, sasa Hilary Clinton anakuja kukagua mitambo! really? Mitambo yenyewe ni ya thamani gani mpaka Secretary of State aje all the way kuikaguwa? Jibu ni URANIUM. Na Joe ni mzuri sana wa kukusanya 'intelligensia ya Uranium.

Hata hivyo nasikia tutapata vyandarua vya mbu by August kwa hiyo tegemea press conference inayosema ni kwa jinsi gani malaria is the biggest killer.Mnakumbuka 'Malaria haikubaliki' campaign- halafu mwishoni wanasema - 'ujumbe huu umeletwa kwenye kwa hisani ya ....... na watu wa marekani'? halafu mara baada ya Obama kuingia ikulu, mkuu wetu wa kaya alikuwa ndio rais wa kwanza toka Africa kwenda kuonana naye (obama). Wametoka mbali na sisi na sasa hivi I can tell wametukamata vilivyo.
 
Asije anafata nini hapa muuaji wanaua ndugu zetu kule Libya anafata nini hapa?!! kafie mbele huko wewe mama hivi hata hiyo ndege si ikuangushe hapo
 
Ukitaka kujuwa uhusuano wa safari ya Hilary Clinton na Symbion basi inabidi umjue chairman wa Symbion - Ambassador Joe Wilson. Huyu bwana ni former US Diplomat na niseme ni former State Department guru, lakini uguru wake uko kwenye ushushushu, tena elite. Both yeye na mke wake infact, na wamekuwa wanafanya kazi (kama balozi) kwenye nchi zenye 'madini'.

Joe analijuwa bara la Africa vilivyo na hasa nchi kama DRC! Huko nyuma nilipojaribu kuelezea ujio wa Symbion na madini na ushushu wa Joe Wilson kuna mwanaJF mmoja alisema ni blah blah, sasa Hilary Clinton anakuja kukagua mitambo! really? Mitambo yenyewe ni ya thamani gani mpaka Secretary of State aje all the way kuikaguwa? Jibu ni URANIUM. Na Joe ni mzuri sana wa kukusanya 'intelligensia ya Uranium.

Hata hivyo nasikia tutapata vyandarua vya mbu by August kwa hiyo tegemea press conference inayosema ni kwa jinsi gani malaria is the biggest killer.Mnakumbuka 'Malaria haikubaliki' campaign- halafu mwishoni wanasema - 'ujumbe huu umeletwa kwenye kwa hisani ya ....... na watu wa marekani'? halafu mara baada ya Obama kuingia ikulu, mkuu wetu wa kaya alikuwa ndio rais wa kwanza toka Africa kwenda kuonana naye (obama). Wametoka mbali na sisi na sasa hivi I can tell wametukamata vilivyo.

Kwa hiyo mkuu unataka kutueleza kuwa sisi TZ tayari tupo ktk mikono ya USA

Na si hivyo tu yaani tunabadilishana URANIUM kwa VYANDALUA hii kweli ni biashara kichaa,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom