Ziara ya Dk Slaa Unguja yadoda mno

Ziara ya Dk Slaa Unguja yadoda mno

Status
Not open for further replies.
Umati huo kwa Zenj unatoshakabisa na unaonesha kuwa CDM inakubalika! Tulikuwa tunatazamia wawe wachache zaidi ya hao!
 
Waliofika hapo ndiyo wenye kutaka mabadiliko na hili ni baraza la katiba si mkutano wa kampeni .Ulitakaje ?
 
Acha ulaghai. Hapo hakuna mwanamke hata mmoja.

Watu wanaojua tamaduni za Zanzibar wanafahamu unapoita watu halafu asije mwanamke hata mmoja maana yake ni nini.

Kwa lugha nyepesi - he was seen as a joke.

...kutokuwepo kwa wanawake si hoja mkuu coz kwa tamaduni za watu wa Zanzibar ambo wengi ni waumini wa dini ya kiislam,wanawake utakiwa kukaa nadani na usije ukashanga kusikia kuwa wanaume ndo anajukumu la kwenda sokoni...
 
Ilikuwa na watu wachache sana.
haikuwa na shamra shamra na watu wengi hawakuhamasika

807915.jpg


2082989.jpg

baadhi ya wananchi wa zanzibar wakimsikiliza Dk Slaa

...Poor thread haya ndo madhara ya kula ulojo, Joti akiwaita mdebwedo mnakasirika.
 
Kwa Zanzibar hao watu ni wengi sana na wanatosha kabisa.

Kitila, Una maana gani kusema kuwa hao watu ni wengi sana na wanatosha? Wewe ni DK tena wa CHUO KIKUU. sikutegemea uje na kauli inayoacha maswali mengi
 
Kitila, Una maana gani kusema kuwa hao watu ni wengi sana na wanatosha? Wewe ni DK tena wa CHUO KIKUU. sikutegemea uje na kauli inayoacha maswali mengi



Hujui maana ya weng?? wanatosha?? poor tz
 
Kitila, Una maana gani kusema kuwa hao watu ni wengi sana na wanatosha? Wewe ni DK tena wa CHUO KIKUU. sikutegemea uje na kauli inayoacha maswali mengi

....Kilicho andikwa na Dr.kitila kiko very clear kama we hujaelewa usitake kuwafanya wengine wawe na akili ndogo kama ya kwako.
 
Ilikuwa na watu wachache sana.
haikuwa na shamra shamra na watu wengi hawakuhamasika

807915.jpg


2082989.jpg

baadhi ya wananchi wa zanzibar wakimsikiliza Dk Slaa
Hana mvuto tena kwa wananchi kama hali ilivyo kwa chadema nzima. Chadema wasome nyakati.
 
Padri kaenda nchi ya boko haram?!
Tindikali inatafutwa ohoooo..
 
Idadi hiyo ni chachu tisha sana huko visiwani hata Arusha na Moshi Chadema Ilianza hivyo na ikakua kama unavyoiona leo.
 
Kashika na fimbo kama KARUME Senior Ahaa matapeli bwana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

hivi wazanzibar jumla yao ni wangapi??
Mwakilishi wa baraza la wawakilishi huchguliwa na jumla ya wapiga kura wangapi??
Ngoja nobrowse sensa ya 2012; kulikuwa na malalamiko kuhusu uwiano wa uwakilishi kati ya majimbo ya bara na ya zanzibar huku ikionekana mbunge wa bara huchaguliwa kwa kura hadi 3m huku kule zanzibar akichaguliwa kwa kiwango kidogo hadi laki moja kitu ambacho kinaleta maana ukiona uchache wa waliohudhuria mkutano wa dr. Slaa.
Mwakili au mbunge kwa zanzibar yaweza kuwa sawa na diwani interms of kura na idadi ya wapiga kura,ndio maana hapa kuna watu wachache.
 
Last edited by a moderator:
Hana mvuto tena kwa wananchi kama hali ilivyo kwa chadema nzima. Chadema wasome nyakati.

Tumepoteza afisa wetu Congo kwa vita isiyo tuhusu;vita ya kupenda sifa lkn ww unaleta porojo zako?

Kuwa muungwana ww!
 
Ilikuwa na watu wachache sana.
haikuwa na shamra shamra na watu wengi hawakuhamasika

807915.jpg


2082989.jpg

baadhi ya wananchi wa zanzibar wakimsikiliza Dk Slaa

kwa idadi wa Zanzibar mi naona hao ni wengi sana. Kumbuka kuwa mabadiliko huanza na watu wachache na hao ni wengi kwa mabadiliko. Kumbuka Chadema haisombi watu from different sources
 
Kitila, Una maana gani kusema kuwa hao watu ni wengi sana na wanatosha? Wewe ni DK tena wa CHUO KIKUU. sikutegemea uje na kauli inayoacha maswali mengi

Kwani hujui zenji ina watu wangapi?
 
Ilikuwa na watu wachache sana.
haikuwa na shamra shamra na watu wengi hawakuhamasika

807915.jpg


2082989.jpg

baadhi ya wananchi wa zanzibar wakimsikiliza Dk Slaa

Hivi tangu mkuu wa kaya aingie madarakan ashawahi kutembelea zenji? Ni swali tu
 
Hilo, japo siyo kwa sharia, kwa mazoea ndiyo vazi rasmi la Taifa la Zanzibar.Ukiingia mahali heshimu mila na desturi zao.

mbona mapadri hawavai na tunawaona wanasikilizwa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom