Zembwela awaponda UKAWA

Zembwela awaponda UKAWA

Sio kweli kuwa ukawa ni wazushi sio kabisa,kama hujui naomba niseme na wewe kidogo, ukawa wana hoja, Katiba ni maridhiano sio ubabe au maslahi, CCM Wameshika Mpini ndio maana wanakataa kwa makusudi matakwa ya ukawa kwa sababu yatawaathiri na hasa kwenye uchaguzi.
Kama wewe ni muelewa mzuri katika kutunga katiba maridhiano ni muhimu sana ili kupata katiba ya wananchi inayojali maslahi ya wote, kila kundi katika nchi.
Kumbuka kuwa mapendekezo yaliyokwenda bungeni ni ya wananchi, Hivyo CCM Kutumia wingi wao kupuuzaa maoni ya wananchi sio sawa, walitakiwa wajadili walete kwetu sisi tuone kama itatufaa au la ! hapo ndipo wao wangeanzia.
Na sio kweli kuwa Watanzania wameona ukawa ni wazushi, Vibaraka na wachumia tumbo kama wewe ndio hasa wanaodharau ukawa.

UKAWA ni sawa na mke mkorofi aliyepata bwana wa nje na anatamani kuachwa. Kila siku wanaongeza madai moja baada ya jingine! wakichekewa hawa iko siku watadai wawe wanaishi Ikulu mle mle ndani. Walianza kwa kusema wao hawaendi bungeni, well wamegundua kumbe kuna wenzao hawataki kuburuzwa na akili ndogo ya division ziro ya Disco joker, sasa wamekuja na hili la kulazimisha watu waandamane waumizwe wao wakauze picha kwa waliwatuma huko ughaibuni! kifupi ukawa ni wehu.
 
Hatukatai maoni ila kupotosha ukweli kwa kua ww ndio kiongozi wa kipindi cha redio huo niujinga, mtangazaji haifai ww kua mchangiaji mkuu, waache watu wachangie wao, sio mudamrefu ni zembwela tuuu. kweli ujinga mzigo zembwela jifunze kwa watangazaji wengine, au tanzania ukogo wewe tu! Eti Vita vitaa ikipiganwa ww utajificha studio? Unatufunza uoga eti tuogope kufa! Fikiria bila upinzani ungeujua uo ufisadi unao uongeleaga
 
Kikwetu zembwela maana yake ni suruali iliyovaliwa chini ya madako.
 
hivi mtu mzima upo timamu unakaa na kumsikiliza kibonde.
 
mbona waandishi wa habari wa tanzania daima hamuwasemi hivi wanapoaandika mambo ya kichadema?? tuu,na kwanini kila mtu nyie mumlazimishe kuamini ya kwenu hata kama sio sahihi??Nauwalakini na mitazamo yenu,nadhani mtakuwa na uwelewa mdogo katika siasa na demokrasia kwa ujumla

Nijibu haya maswali: Je ni sahihi serikali kutokuwa wazi na kuwajibika kwa wananchi? Je ni sahihi mawaziri wa serikali wawe wabunge? Je ni sahihi nchi moja iwe na katiba mbili? Je ni sahihi nchi moja iwe na maamiri jeshi wakuu wawili?
 
ZEMBWELA umekwisha habari yako uwezo wako Wa kufikiri no mdogo sana usipende kuropoka ukawa bab kubwa achana nao
 
Manina zako Zembwela, kichwa maji mkubwa wewe!!
 
Eti ukawa ! This ukawa is unwanted in our country and I really dislike it. Majority wa watu wa Ukawa mambo yao ni vurugu tupu? Yaani wanaboa sana.
 
Last edited by a moderator:
Ukawa,ukawa,ukawa. Wafuasi wako vichwa maji. Ukisifiwa na kichaa wao wamwona mwerevu,ukionywa au kupingwa na werevu basi wanaonekana idiot. Na mwaka huu andamaneni,Mtapigwa tu. Vyombo vya habari vimejishtukia kuona vinasapot ujinga.
 
Tumieni akili na nyie mnaboa sana. Siyo kila kitu mnakuja kulalamika hapa Jf.
Kama mtu katoa maoni yake basi. Siyo lazima awe kwenye msimamo mnaotaka nyinyi.
Sidhani kama Zembwela atamshika mkono mtu ili asiandamane. Wewe kama akili yako inakutuma kuandamana nenda tena kwa amani na asiyetaka muacheni.

Msilete upuuzi wa kusema eti mtu ambaye haiungi mkono Ukawa ni mburula. Mburula ni mtu asiependa kusikia wengine wanatoa maoni au matamko yanayopingana na yake halafu anatokwa na povu.
 
Sera zimeisha sasa mmeona mgeukie maandamano,
 
by kalagabaho;
Kwani ukawa ndio MATOPE gani?



Mkuu kalagabaho ukawa ni matope ya b.ib.i yako!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom