Anapoteza muda na nguvu kazi bure! CCM haipo huko Kaskazini!!Katika kuhakikisha jimbo la Arusha linarudi CCM. Mhe. Zelote Steven ameanza kupiga jaramba kuwania kiti hicho. Wanarusha tumuunge mkono
Huyo hata udiwani hawezi kupataKatika kuhakikisha jimbo la Arusha linarudi CCM. Mhe. Zelote Steven ameanza kupiga jaramba kuwania kiti hicho. Wanarusha tumuunge mkono
Hata ikiwekwa panya inashinda mradi ipewe bendera ya CDM.Arusha Mjiini hata akigombea Mwenyekiti hapati.
Huyo baba ni kumbe ni WaKatika kuhakikisha jimbo la Arusha linarudi CCM. Mhe. Zelote Steven ameanza kupiga jaramba kuwania kiti hicho. Wanarusha tumuunge mkono
Wanasema amestaafu.Acha utani.
Huyo afande asiyejua hata kujieleza jukwaani, eti CCM wamteue kugombea Arusha Mjini?
Yote tisa, hivi ni kitu gani hasa kimepelekea mpaka juzi Magufuli kaamua kumtumbua katika Ukuu wa Mkoa wa Rukwa?
Ni mzigo?
Fisadi?
Maana kipindi kile alipoteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa, alikuwa akijigamba kuwa yeye ni mchapakazi hodari, na alikuwa akifanyakazi muda wote na alikuwa akitoka ofisi saa tano usiku!!!
Katika kuhakikisha jimbo la Arusha linarudi CCM. Mhe. Zelote Steven (PhD) ameanza kupiga jaramba kuwania kiti hicho. Wanarusha tumuunge mkono
Hakika unamfaham na bila shaka ni mtumishi wa umma Rukwa! taarifa ni kwamba ameomba kupumzika kwakua hes 70+! na aliandika barua mwenyewe! Nadhani alicho kitarajia kimemchosha! alianza kaa mbwembwe..na hawezi kugombea si mtu wa blah blah..sio muongeaji inshort!Acha utani.
Huyo afande asiyejua hata kujieleza jukwaani, eti CCM wamteue kugombea Arusha Mjini?
Yote tisa, hivi ni kitu gani hasa kimepelekea mpaka juzi Magufuli kaamua kumtumbua katika Ukuu wa Mkoa wa Rukwa?
Ni mzigo?
Fisadi?
Maana kipindi kile alipoteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa, alikuwa akijigamba kuwa yeye ni mchapakazi hodari, na alikuwa akifanyakazi muda wote na alikuwa akitoka ofisi saa tano usiku!!!