Uchaguzi 2020 Zelote Stephen- ubunge 2020-2035

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,553
32,178
Katika kuhakikisha jimbo la Arusha linarudi CCM. Mhe. Zelote Steven (PhD) ameanza kupiga jaramba kuwania kiti hicho. Wanarusha tumuunge mkono
 
Katika kuhakikisha jimbo la Arusha linarudi CCM. Mhe. Zelote Steven ameanza kupiga jaramba kuwania kiti hicho. Wanarusha tumuunge mkono
Anapoteza muda na nguvu kazi bure! CCM haipo huko Kaskazini!!
 
Acha utani.
Huyo afande asiyejua hata kujieleza jukwaani, eti CCM wamteue kugombea Arusha Mjini?

Yote tisa, hivi ni kitu gani hasa kimepelekea mpaka juzi Magufuli kaamua kumtumbua katika Ukuu wa Mkoa wa Rukwa?
Ni mzigo?
Fisadi?

Maana kipindi kile alipoteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa, alikuwa akijigamba kuwa yeye ni mchapakazi hodari, na alikuwa akifanyakazi muda wote na alikuwa akitoka ofisi saa tano usiku!!!
 
Acha utani.
Huyo afande asiyejua hata kujieleza jukwaani, eti CCM wamteue kugombea Arusha Mjini?

Yote tisa, hivi ni kitu gani hasa kimepelekea mpaka juzi Magufuli kaamua kumtumbua katika Ukuu wa Mkoa wa Rukwa?
Ni mzigo?
Fisadi?

Maana kipindi kile alipoteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa, alikuwa akijigamba kuwa yeye ni mchapakazi hodari, na alikuwa akifanyakazi muda wote na alikuwa akitoka ofisi saa tano usiku!!!
Wanasema amestaafu.
 
Acha utani.
Huyo afande asiyejua hata kujieleza jukwaani, eti CCM wamteue kugombea Arusha Mjini?

Yote tisa, hivi ni kitu gani hasa kimepelekea mpaka juzi Magufuli kaamua kumtumbua katika Ukuu wa Mkoa wa Rukwa?
Ni mzigo?
Fisadi?

Maana kipindi kile alipoteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa, alikuwa akijigamba kuwa yeye ni mchapakazi hodari, na alikuwa akifanyakazi muda wote na alikuwa akitoka ofisi saa tano usiku!!!
Hakika unamfaham na bila shaka ni mtumishi wa umma Rukwa! taarifa ni kwamba ameomba kupumzika kwakua hes 70+! na aliandika barua mwenyewe! Nadhani alicho kitarajia kimemchosha! alianza kaa mbwembwe..na hawezi kugombea si mtu wa blah blah..sio muongeaji inshort!
 
Back
Top Bottom