Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 20,004
- 37,416
Ila yenye maendeleo kuzidi nchi zote za Africa na nyingi za ULAYA AMERKA ASIA nkSawa. Isipokuwa matarajio si Ukraine kuchukuliwa na Urusi (kumbuka vitisho mbuzi vya masaa 24 pale mwanzo), wala si Urusi isambaratike. Bila shaka Putin kuondoka ni jambo la heri sana hata kwa Urusi yenyewe. Maelfu ya wapiganaji wake walioangamia na kupata vilema ni hasara mbaya sana kwa Urusi. Hakuna faida yeyote ya vita hii kwao. Ni vile tu hakuna kuhojiwa huko. Ni absolute dictatorship.
Urusi ni nchi ya wazungu lakini inayotawaliwa kiafrika - kwa utashi wa mtu mmoja!
Kheri udikteta wa RUSSIA [emoji635] kuliko demoghasia yenu huko Bara la giza njaa na migogoro isio na kikomo na kukoma