Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Watu wanabadili mbinu..........walishasema awamu ya kwanza imekamilika..........hii kitu kuisha bado sana
Watamaliza nayo mwaka. Atakama ikiishia urusi hawezi kuondoa majeshi yake yote iyo nchi ataweka base kama ilivyokua kwa marekani kule Afghanistan