Ni kweli lakini hiki kipindi kinaponya wagonjwa wenye pressure na kinaongeza siku za kuishi kitaalamu zaidi
Kwani watu wakiwa kwenye majonzi ndo hakuna hata muda wa kujiliwaza? Ni namnatu badala ya ya kuwafariji kulia au kuhuzunika nao angalau unawapa muda hata wa kutabasamu na kucheka. kumbuka kicheko ni tiba bora ya kutibu mawazo na majonzi.
nafikiri hapa ni mtizamo tu
Hee wewe bado unaangalia the original comedy? basi hata wewe unamatatizo flani flani.Nimeangalia ze comedy Tbc 1 sijaipenda hii kwenda pale uwanja wa wa uhuru na kuanza kuigiza hukuwa wahanga wa tukio hilo wakiwa na majönzi na simanzi nimechefuka na hii