TangaNyika_TZ
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 239
- 52
Yaani nyinyi mumeacha kazi zenu munazungumzia Zanzibar Bogus Cooperation /Zanzibar Bias Cooperation(ZBC). Ngoja niwaambieni hapo zamani wakijita TVZ yaani (TV zuzu/ TV ZERO).
Tatizo kila kitu unahusisha na siasa. Vitu vingine ni technical. Suala hapa ni kusubiri maelezo kutoka chombo husika. Kuna siku hata mkeo atakunyima unyumba usingizie ccm kumbe yupo kwenye siku.
tatizo kila kitu unahusisha na siasa. Vitu vingine ni technical. Suala hapa ni kusubiri maelezo kutoka chombo husika. Kuna siku hata mkeo atakunyima unyumba usingizie ccm kumbe yupo kwenye siku.
Tatizo kila kitu unahusisha na siasa. Vitu vingine ni technical. Suala hapa ni kusubiri maelezo kutoka chombo husika. Kuna siku hata mkeo atakunyima unyumba usingizie ccm kumbe yupo kwenye siku.
Wewe ulikuwepo huko studioni kwao ukaona kama wamezima kusudi au ndo umetumwa na hao UKAWA? Acha kuongopea watu hapa ndani.
Wewe ulikuwepo huko studioni kwao ukaona kama wamezima kusudi au ndo umetumwa na hao UKAWA? Acha kuongopea watu hapa ndani.
Kama CUF walilipia, wadai warudishiwe fedha zao. Lakini kama ni utaratibu tu ya kwamba matukio ya kampeni yanarushwa bure kwa sababu ni kituo cha umma, achaneni nao kwa sbbmwisho wa uzandiki hup ni 25/10/2015
Na next time, kama vyama vya upinzani vina matukio muhimu wanayotaka yarushwe live kwenye radio na televisions, fanyeni biashara hiyo na vituo huru na bora zaidi kama Azamu TV na ITV hata StarTV sometimes wazuri tu kwa matangazo ya live!!
na kwa nini Tv ya Zanzibar haipatikani Arusha?
Wawe wamezima au hawakuzima makusudi hii ni juu yao na mitawi wao! Haina IMPACT yeyote maana CUF inajiuza wenyewe kwa wazanzibar wenye akili timamu na wala haihitaji kupigiwa kampeni kupitia kituo cha TV maskani!
Hivyo vitendo vya ZBC dhidi ya CUF havikuanza leo, we we na wao jiulizeni jee wamefanikiwa kuudhoofisha CUF!!????
KIZURI CHAJIUZA NA KIBAYA CHAJITEMBEZA.
Nunua kingamuzi cha Azam tv utapata zbc siyo Arusha tu hadi Kenya na Uganda.