Kwenye red mepapenda.... Shukrani kwa kunikumbusha KOKUTONA
Hapa ni mwendo wa kupendana sio??? Pendaneni nawapeni amani ya Bwana "PENDANENI"
Babu mapenzi hayana analogy wala digital, when they are pure and clean from the heart.
Na mnavyopendana na bibi.........sipati picha.
Ahsante kwa salamu KOKUTONA....
Analogia ipo bwana, ....hapa naanza kufikiria matenga ya kuku, mikaa na matunda matunda wakati wenzenu wa digitali wanahangaika na cards, maua na mizawadi ya nguvu....
Tena nimekumbuka kuwa hatujachapa kiti moto siku nyingi......I wish tungekuja pale White House tukapime kama kilo 5 hivi!!
Babu DC!!
Thax much KOKUTONA for this nice wishes ... uendelee kubarikiwa.
Nimependa hii...Kumbuka VALENTINE ni upendo, uaminifu, uvumilivu, utu wema, fadhila,kujali (kwa tafsiri yangu)ambavyo huleta furaha, amani na raha katika maisha. (Coz tunachotaka ni furaha na amani)
Hii imenichekesha lolz: Kwa wale multipurposes, wenye valentines kumi kidogo, hakikisha hugonganishi magari, tumeshudia watu wamepigana disko, wamerushiana chupa, wamevujunjana viungo n.k, valentine maana yake si hii, km una wasi wasi baki nyumbani tuu. (hawa wa type inabidi wajipange next valintine wasiwe tena na status hii haha hahaaa).
Yan acha tu bidada... Yan hapa naona nyotanyota... Sijui nikajilaze hospital kuwa naumwa? Mmmh hapana naweza fuatwa huko huko... Sijui nilale home.. hapana pia ntafuatwa home.. Sijui nitorokee wapi mie.... Nishauri baasi!!!!!
Siku ya wapendanao.
Pole shosti, sina experience sana na mambo hayo........but unaweza ukawaalika woote ktk valentine's dinner, afu unawaeleza ukweli wooote kuhusu wao na wewe na ulivyokuwa unawapanga.
Yule atakayevumilia kubaki na wewe ndio valentine wako wa ukweli, wakiondoka wote rudi nyumbani kapumzike ukisikiliza mziki mororona kupata mvinyo tartibu
Hakikiasha umeandaa security guard in case of anything.......
Ha ha haaa, akili za kuambiwa changanya na za kwako.