looh! Hadi cha kusema nimeshindwa!..aaa..aah..!Mpenzi wangu Munkari hii ndio zawadi yako kutoka kwangu. Sio kwamba nakuonga ila nakupenda kwa dhati ya moyo wangu. Hii zawadi ni kukuonyesha ni jinsi gani nakupenda, nakupenda na nakupenda. Wewe ndie asali wa moyo wangu, mpenzi wa moyo wangu, barafu wa moyo wangu. Njoo utulie na mimi achana na maneno ya kinafiki ya jirani zetu hapa JF. Nakupenda kwa dhati mumie Munkari.....![]()
looh! Hadi cha kusema nimeshindwa!..aaa..aah..!
Mpenzi wangu Munkari hii ndio zawadi yako kutoka kwangu. Yaani switie asante saaanaaa! Daladala tena baathi! What a hell! Sio kwamba nakuonga ila nakupenda kwa dhati ya moyo wangu.Hii zawadi ni kukuonyesha ni jinsi gani nakupenda, nakupenda na nakupenda...... Yani dah hapa nimekosa cha kusemaaa! Wewe ndie asali wa moyo wangu, mpenzi wa moyo wangu, barafu wa moyo wangu......kaaaa! Yani ndo umenimaliza kabisaaaaaa! Njoo utulie na mimi achana na maneno ya kinafiki ya jirani zetu hapa JF,....yani nimezibaa pamba mwenye wivu ajinyongee! Nakupenda kwa dhati mumie Munkari..... Aaaah sina halii!![]()
hachoshwi mtu hapa si kila siku kama tumezaliwa jana.
haaah! We acha tu! Kitu cha toyota vitz chezeya Surprise ! Looh! Mengine sisemi wataigilizia ntakutana na mwandani wangu chumbaaniii!
sweetie husikose cha kusema, ni mapenzi haya yaliyoko ndani ya moyo wangulooh! Hadi cha kusema nimeshindwa!..aaa..aah..!
hachoshwi mtu hapa si kila siku kama tumezaliwa jana.
hahahahaha kweli mapenzi upofu, Mzee Kaizer leo amekuwa bebiha haa haaa hebu tusaidiane kumshangaa huyu beiby
Wifie hoe, umeona mambo yangu?hahahaaa, haya kila lakheli mamito
si amekwambia uzee mwisho chalinze jamani, hujamuelewa au kiburi? after all ww unaaongea saa ngapi na bebi yako Munkari. kutwa kucha kuchunguza malavi navi yetu?hahahahaha kweli mapenzi upofu, Mzee Kaizer leo amekuwa bebi
hahah mamii, yule wa kwako CHAMA hawezi haya mambo, yule zake akununulie vocha tuwivu tayari jamani. bebiiiiiii njoo pande hii na mie nataka kama hiyo,
si amekwambia uzee mwisho chalinze jamani, hujamuelewa au kiburi? after all ww unaaongea saa ngapi na bebi yako Munkari. kutwa kucha kuchunguza malavi navi yetu?
Wifie hoe, umeona mambo yangu?