Nina kiwanja
Nina simu
Nilikuwa na bodaboda
Acha vitu vingine vidogodogo.
Mpango wa kando samtaim unasaidia sana
Ulimpa nini!Nina kiwanja
Nina simu
Nilikuwa na bodaboda
Acha vitu vingine vidogodogo.
Mpango wa kando samtaim unasaidia sana
Nakumbuka nilipewa Azam Mango ya Lita 1.5.
Mapenzi, viuno na tigoUlimpa nini!
Tigo kusajili shilingi ngapi hapo kwako.Mapenzi, viuno na tigo
Uliniuma sana huwezi kuamini.
Akijibu hapa mkuu naomba unitagTigo kusajili shilingi ngapi hapo kwako.
Akijibu hapa mkuu naomba unitag
Kwa nini?Uliniuma sana huwezi kuamini.
Doooohh salute kwake
Nilikuwa naumwa na yeye ndiye alikuwa First GF kwangu huwezi amini jioni alikuja na Azam Mango lita na nusu, baada ya hapo sikuona zawadi yoyote ikabaki mizinga.Kwa nini?