Akili Pesa
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 617
- 854
- Thread starter
- #21
Nice yani huu ubunifu umezngatia uhalosia bhan. ila nahs jamaa alijiskia noma kupewa kitairi cha mazoez [emoji23][emoji23]I think Viatu pia is okay, kama unajua size yake.
Inapendeza zawadi ikiwa ya kuoneshea palepale matumizi,ndomana wanachagua saa. Ni simple kumvalisha mtu wake.
Kuna moja nliona tofaut kidogo,alinunua zawadi ya kifaa cha kufanyia mazoez (hubby to be kibonge ivi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app