ZAWADI NONO TZS1,000,000- Picha za Mbowe

ZAWADI NONO TZS1,000,000- Picha za Mbowe

Mugisher

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
411
Reaction score
360
Nitatoa shilingi milioni moja kwa yeyote yule atakaye post picha za Mbowe enzi zile akiwa amesuka nywele au kubana nywele nyuma au kuweka curl kit au perm au rasta au kuvaa hereni. Hili ni kwa wema ili tujue waziri mkuu wetu mtarajiwa alianzia mbali sana kimaisha. Wadau changamkeni. Chochote chawezekana bongo.
 
Hatuwezi kuendelea kwa kuangalia yaliyopita kipindi cha nyuma tunaangalia mbele, Tanzania inakwenda kwenye uchaguzi wa viongozi wa Taifa lakini kiongozi tutayemchagua sio Malaika ni binaadam kama sisi hivyo hakuna mkamilifu.
 
Mtahangaika sana mwaka huu.
Mmelikologa Bwembela mtalinywa tu.
Mtahita mizimu yenu yote,lakini hakuna jiwe litakaloachwa.
 
Nitatoa shilingi milioni moja kwa yeyote yule atakaye post picha za Mbowe enzi zile akiwa amesuka nywele au kubana nywele nyuma au kuweka curl kit au perm au rasta au kuvaa hereni. Hili ni kwa wema ili tujue waziri mkuu wetu mtarajiwa alianzia mbali sana kimaisha. Wadau changamkeni. Chochote chawezekana bongo.

Ongeza dau mkuu
 
Nitatoa shilingi milioni moja kwa yeyote yule atakaye post picha za Mbowe enzi zile akiwa amesuka nywele au kubana nywele nyuma au kuweka curl kit au perm au rasta au kuvaa hereni. Hili ni kwa wema ili tujue waziri mkuu wetu mtarajiwa alianzia mbali sana kimaisha. Wadau changamkeni. Chochote chawezekana bongo.

Urofa huo. Na wewe post za baba yako pindi yupo kijana tuone alikuweje
 
Mimi nina picha ya magufuli alipokua mcheza ngoma za kisukuma shinyanga maarufu kama PACHANGA MTANIPA TSH NGAPI?
 
Nitatoa shilingi milioni moja kwa yeyote yule atakaye post picha za Mbowe enzi zile akiwa amesuka nywele au kubana nywele nyuma au kuweka curl kit au perm au rasta au kuvaa hereni. Hili ni kwa wema ili tujue waziri mkuu wetu mtarajiwa alianzia mbali sana kimaisha. Wadau changamkeni. Chochote chawezekana bongo.

Umetumwa na magamba dogo, pole sana...wahi kwny tamasha la fiesta Jangwani leo!:sly:
 
Nitatoa shilingi milioni moja kwa yeyote yule atakaye post picha za Mbowe enzi zile akiwa amesuka nywele au kubana nywele nyuma au kuweka curl kit au perm au rasta au kuvaa hereni. Hili ni kwa wema ili tujue waziri mkuu wetu mtarajiwa alianzia mbali sana kimaisha. Wadau changamkeni. Chochote chawezekana bongo.

Duh! Alikuwa teja au?
 
Kwa Obama hata mm niliwahi kuhisi hivyo hasa wakat wa kampeini za mhula wa kwanza, sawa speech zake ni nzuri na zinavutia lakin kuna wakati unamwona huyu MTU si wakawaida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom