Zawadi kwa mwanaJF

Zawadi kwa mwanaJF

utafiti

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
12,783
Reaction score
7,671
Sikutaji jina najua unajijua
attachment.php
 

Attachments

  • 1396850134065.jpg
    1396850134065.jpg
    45.2 KB · Views: 1,197
Weee usimtaje hivo hivo maana mkweo nipo apa natizama shauri yako....

Hivi huyu jamaa yangu life is Short yuko wapi? Au kaenda kuvuna tende lol?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Wana jf yeyote hii zawadi ya utafiti tukiitumia kama huna suti unaishia mlangoni
 
haifai kwa mazingira ya Tanzania otherwise barabara ziondolewe matuta na ziwe na lami zisizo na matatizo ya makorongo..

usishangae kuona vibaka wakichangamkia side mirrors na kuvunja vioo!..

Tz ni zaidi ya tuijuavyo...
 
Back
Top Bottom