DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
asieeh nilishasahau dau lake la 5000. Anyway anunue tu vyupi 2 kama ulivyosemaKwa hiyo 5000? Labda amnunulie chupi za ovyo..
asieeh nilishasahau dau lake la 5000. Anyway anunue tu vyupi 2 kama ulivyosemaKwa hiyo 5000? Labda amnunulie chupi za ovyo..
Mimi sivai ila huwa naona wana wamevaa chupi za kikeNini tena hii mkuu, kwani wewe unaweza kuvaa ya mkeo/mmeo
Hiyo 200 anaipatia wapi? Stick to the budget young.
Unaimarisha upendo mkuu pia unaimarisha nguvu za kiumeAisee mkuu kwa mimi siwezi kuvaa![]()
Normally huwa tunaulizaga tyu ila reality haipendezi na haifai. Zawadi inakuwa nzuri zaidi kama itastukizwa tyu kwa mlengwa na jaijalishi ni zawadi gani...Vp nikimuuliza zawadi anayoipenda itakuwa vizuri? Mmijitahidi au nimfanyie ziara ya kishitukiza kama saplies
Wanaovaa wanasema hivyo. Na wewe jaribu tuoneNguvu zinaimarika kwa kuvaa kyupi?
Shanga za nini binti mdogo kama huyu, shanga niza kinamama
Sasa hiyo 5,000/=
Si utapata pichu moja tu!
chacha? nimekudharau sana mleta madaHapo chacha ndo patamu, hizo culture za kimasai au